PROSPER 05
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 226
- 217
Suala la nahodha wa Yanga, Nadir Haroub Ally maarufu kama Cannavaro kukutana na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji limezua mjadala mkubwa.
Wako wanaoamini kuwa Cannavaro ambaye aliongozana na benchi la ufundi, walikwenda kumjulia hali Manji katika mahakama ya Kisutu.
Wako Wengine wamekuwa wakiamini kwamba Wanajangwani hao walikwenda kumlilia shida kwa kuwa mambo yao si mazuri.
Wewe Unafikiri nini Kuhusu hili?
Wako wanaoamini kuwa Cannavaro ambaye aliongozana na benchi la ufundi, walikwenda kumjulia hali Manji katika mahakama ya Kisutu.
Wako Wengine wamekuwa wakiamini kwamba Wanajangwani hao walikwenda kumlilia shida kwa kuwa mambo yao si mazuri.
Wewe Unafikiri nini Kuhusu hili?