Yanga walimtaka Big atoke uwanjani ili timu ipate goli

Umeonyesha ujinga na upumbavu na pia ushenzi pamoja....kuingia uwanjani siyo issue hapa ..suala hapa ni kutangaza kufanya hujuma kwa timu nyingine...huu ndio ushenzi na ujinga pamoja na upumbavu....
Mbona hayo mambo ya kawaida kwa utani, shida yenu mmegeuza utani kua uadui.
Mbona kwenye vibanda umiza huku maneno kama hayo kawaida
 
MANYANI ,MBWA FC.



 
Hivi kwa akili ya kawaida unachukua usafiri Dar mpaka Moro kuangalia mechi isiyo ya timu yako huku umevaa jezi ya timu yako...mbumbumbu OG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…