Yanga walimtaka Big atoke uwanjani ili timu ipate goli

Yanga walimtaka Big atoke uwanjani ili timu ipate goli

Umeonyesha ujinga na upumbavu na pia ushenzi pamoja....kuingia uwanjani siyo issue hapa ..suala hapa ni kutangaza kufanya hujuma kwa timu nyingine...huu ndio ushenzi na ujinga pamoja na upumbavu....
Mbona hayo mambo ya kawaida kwa utani, shida yenu mmegeuza utani kua uadui.
Mbona kwenye vibanda umiza huku maneno kama hayo kawaida
 
MANYANI ,MBWA FC.



Kutamka maneno hayo haijalishi Kama ni kweli au uongo...mradi umetamka basi hilo ni kosa...Soma sheria...penal code...ukimtamkia mtu Kama nitakua haijalishi Kama kweli utamuua au hutamuua...ni kosa moja kwa moja...Sasa basi mwanasimba mmoja amerikodiwa anasema tumekuja hapa kwa lengo moja tu kuihujumu Yanga kuhakikisha kuwa haishindi...na anaendelea kutamba kuwa wataendelea kufanya hivyo Kila mechi...Sasa huyo alipaswa kuhojiwa na polisi pamoja na TFF...
 
Hivi kwa akili ya kawaida unachukua usafiri Dar mpaka Moro kuangalia mechi isiyo ya timu yako huku umevaa jezi ya timu yako...mbumbumbu OG
 
Back
Top Bottom