Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Sisi ndiyo Yanga SC AKASisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152500
Simba na Yanga hazina viwanja kwa sababu maalumu - "tujaze kwa Mkapa" - ili wadau wajenge mahekalu, n.kUwanja YouTube? Mafala nini basi wakacheze YouTube watadharauliwa mpaka akili ziwakae sawa yaan Yanga wanashindwa kujenga uwanja wao wenyewe hata kwa kujichanga 100 100 Yanga Tanzania nzima wakijichanga 100 100 kila mwezi nakwambia watajenga viwanja hata vitatu kwa mpigo ila uongozi
Kuna tajiri mmoja anaipenda Yanga kinoma noma sema Yanga kudadadekizao pumbavu Yanga wanadharauliwa uwanja wakati kuna matajiri wanaipenda Yanga huwaambii kitu yaan ukiwaambia wachangie hata million 300 uwanja ujengwe hawaoni hatari eti Yanga haina uwanja