Tetesi: Yanga walitibuana na Azam sababu ya Prince Dube Sasa wanatibuana na KMC sababu ya Moallin, KMC waapa kuwaonyesha wao ni nani

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
Sisi ndiyo Yanga SC AKA

Manyani na Mammbwa SC
Sindano dawa za kuongeza nguvu SC
Jini Maimuna SC
Hamisa Mobeto Buzi la Aziz Ki SC
Mihadarati SC
Wavuta Shisha SC
Nyuki Asali SC
Mpumelelo pumuuuuu SC
Wachawi SC
Watembea uchi usiku kwenye viwanja SC
Wacheza Vigodoro SC.
Wagombaniwa na maraya SC
Kimoko cha chamazi SC
Wakimbizi kwenye viwanja vya watu SC
CCTV CAMERA SC
Uto de Supu la Ngo'mbe SC
View attachment 3152514
 
Simba na Yanga hazina viwanja kwa sababu maalumu - "tujaze kwa Mkapa" - ili wadau wajenge mahekalu, n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…