Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanavyocheza yanga nikama tayari wameshapata goli nne ,kama wasiposhinda goli 3 leo ndio basi tena!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mazoezi ya gym sio mazuri kwa soka la sasa wachezaji wanakuwa wazito sana hawakimbii na wanaokimbia hawana akili sawa sawa .
Mazoezi ya gym sio mazuri kwa soka la sasa wachezaji wanakuwa wazito sana hawakimbii na wanaokimbia hawana akili sawa sawa .
So Ronaldo mbio zilikuwa zinamuishia kipindi ambacho alikuwepo Real Madrid?Nabi aondoke ana uwezo mdogo sana kama kocha na wachezaji kama akina Makambo waondoke hakuna wanachofanya ni kula hela za bure tu na kuwagawia viongozi ili wawalinde waendelee kuwepo Yanga, bure kabisa.