figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Ile mechi ya muonganiko wa timu mbili kati ya yanga na simba ambo ungecheza na asante kotoko kama maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa tanganyika umeingiliwa na Bundi.
yanga wamegoma kuwapleka wachezaji ambao wangeungana na wachezaji wa simba ili kupambana na asante. Hadi dakika hii yanga wameingia mitini. simba wamesema watakomaa wenyewe na watawafunga hao watoto wa Ghana. baada ya wachezaji wa yanga kusikia kila mchezaji angepewa laki3, kuna wachezaji walioingiwa na Tamaa lakini wakambiwa stop. mia
yanga wamegoma kuwapleka wachezaji ambao wangeungana na wachezaji wa simba ili kupambana na asante. Hadi dakika hii yanga wameingia mitini. simba wamesema watakomaa wenyewe na watawafunga hao watoto wa Ghana. baada ya wachezaji wa yanga kusikia kila mchezaji angepewa laki3, kuna wachezaji walioingiwa na Tamaa lakini wakambiwa stop. mia