Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Simba imetoa bahasha ili wachezaji wa Yanga waumizwe,, aiseeeHata mimi nimeona, muda mwingi alikuwa anacheza rafu zenye lengo lakuumiza ili apewe kadi nyekundu. Bahasha inafanya kazi
Ilo liko wazi mkuuKwahiyo Simba imetoa bahasha ili wachezaji wa Yanga waumizwe,, aiseee
Leta timu yako.Huyu jamaa wa timu ya Pamba kaitafuta card nyekundu kwa udi na uvumba. Yanga yenu ndio hiyo.
Haya ngoja tuone mvua ya magoli kwa Yanga na Azizi Ki anapata hat trick
Bahasha fc.
Leta timu yako uwanjaniHata mimi nimeona, muda mwingi alikuwa anacheza rafu zenye lengo lakuumiza ili apewe kadi nyekundu. Bahasha inafanya kazi
Kumbe mwana Kolo FC uliyejipa uyanga,unajipa tabu account mbilimbili. Wakati wewe mwenyewe ulikula 5 tena mkiwa mmekamilika.Hata mimi nimeona, muda mwingi alikuwa anacheza rafu zenye lengo lakuumiza ili apewe kadi nyekundu. Bahasha inafanya kazi
Bahasha katoa Mo ili uyo mchezaji aumize wachezaji wa yanga🤣🤣Huyu jamaa wa timu ya Pamba kaitafuta card nyekundu kwa udi na uvumba. Yanga yenu ndio hiyo.
Haya ngoja tuone mvua ya magoli kwa Yanga na Azizi Ki anapata hat trick
Bahasha fc.
Baada ya kufungua maduka.Kumbe mwana Kolo FC uliyejipa uyanga,unajipa tabu account mbilimbili. Wakati wewe mwenyewe ulikula 5 tena mkiwa mmekamilika.
Siku hizi si mnanunua na marefa mechi zote mbili magoli ya offside, mechi ya ngao refa kazipunguza tatu zilikiwa nne.Baada ya kufungua maduka.
Tarehe 19 uwe na energy hii hii.Siku hizi si mnanunua na marefa mechi zote mbili magoli ya offside, mechi ya ngao refa kazipunguza tatu zilikiwa nne.