joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Minajua utakuja kupaki bus kama ngao ya hisani,endeleni kununua marefa.Tarehe 19 uwe na energy hii hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Minajua utakuja kupaki bus kama ngao ya hisani,endeleni kununua marefa.Tarehe 19 uwe na energy hii hii.
Achana na mbumbumbu wameanza kuchanganyikiwa, wamebebwa mechi 2 na sasa wanabweka kama mbwa, Yanga kafunga magoli halali but wao ilibidi wasubilie m.pesa ya refa isome ndio iwaokoe kule Dodoma, ovyo kabisa!Ila wabongo vichwa maji kweli aisee. Yanga kumfunga Pamba mnasema bahasha? Pamba ambayo imepanda daraja juzi na toka imepanda daraja inafungwa tu na timu pinzani? Kwamba kwa mawazo yenu na akili zenu Yanga ni dhaifu kuliko timu zilizoifunga Pamba? Maana hamkusema vya bahasha alipofungwa na timu zingine
By the way, Yanga alimfunga Simba na Azam, hawa nao walipewa bahasha?
Hadi leo hua najiuliza mlimpa nini Inonga?Minajua utakuja kupaki bus kama ngao ya hisani,endeleni kununua marefa.
Gsm group at workHuyu jamaa wa timu ya Pamba kaitafuta card nyekundu kwa udi na uvumba. Yanga yenu ndio hiyo.
Haya ngoja tuone mvua ya magoli kwa Yanga na Azizi Ki anapata hat trick
Bahasha fc.
Kwani juzi tulimlipa nani?Hadi leo hua najiuliza mlimpa nini Inonga?
Juzi umecheza na team mpya boss.Kwani juzi tulimlipa nani?
Endelea kununua marefa, ila hauna timu ya kupata hata droo mbele ya Yanga.
Ushaanza kutema mate kila mahali kama mjamzitoHuyu jamaa wa timu ya Pamba kaitafuta card nyekundu kwa udi na uvumba. Yanga yenu ndio hiyo.
Haya ngoja tuone mvua ya magoli kwa Yanga na Azizi Ki anapata hat trick
Bahasha fc.
Timu mpya sasa bahasha alichukua nani, mpaka akaruhusu goli?Juzi umecheza na team mpya boss.
Leicester iliwahi kupanda daraja na kuchukua ubingwa,Ila wabongo vichwa maji kweli aisee. Yanga kumfunga Pamba mnasema bahasha? Pamba ambayo imepanda daraja juzi na toka imepanda daraja inafungwa tu na timu pinzani? Kwamba kwa mawazo yenu na akili zenu Yanga ni dhaifu kuliko timu zilizoifunga Pamba? Maana hamkusema vya bahasha alipofungwa na timu zingine
By the way, Yanga alimfunga Simba na Azam, hawa nao walipewa bahasha?
Nae alivyopanda alifungwa mechi 5 za kwanza kisha ndio akachukua ubingwa?Leicester iliwahi kupanda daraja na kuchukua ubingwa,
TusubiriTimu mpya sasa bahasha alichukua nani, mpaka akaruhusu goli?
Mshukuruni refa yule aliye waokoa lwa kukataa magoli ya Aziz na Pacome,plus penalty ya Aziz.Halafu refa huyo huyo ndiye akaja kuwapa magoli mawili ya offside na Azam.
Sio kweli sijui nani huwa anawadanganya hii stori....Leicester City wakati anachukua ubingwa wa 2015-2016 ilikua msimu wake wa pili kwenye ligi. Msimu wa 2014-2015 alishika nafasi ya 14 hukoLeicester iliwahi kupanda daraja na kuchukua ubingwa,
Nakusubiria kwa hamu kabisa, njoo ucheze kama ulivyo cheza leo, halafu uone kama hatujaweka bango lingine.Tusubiri