Yanga wana Mwanasheria kweli?

Acha bangi wewe unaweza kuthibitisha icho cha kambi ya uturuki? Unao ushahidi wa icho unachokieleza? Kurukia rukia mambo usiyoyajua kutakuja kukuingiza matatizoni siku moja kuwa makini na ujinga wako tunakuonya
 
Acha bangi wewe unaweza kuthibitisha icho cha kambi ya uturuki? Unao ushahidi wa icho unachokieleza? Kurukia rukia mambo usiyoyajua kutakuja kukuingiza matatizoni siku moja kuwa makini na ujinga wako tunakuonya
Hivi kuna mtanzania mjinga kushinda manara Tanzania kwa umri wake na ujinga anaopost haviendani kamuelimishe yule kwanza na wale wanaoenda airport kuwapokea wageni wakielewa uje unieleweshe na mimi sawa utopolo.
 
Hiyo ya kulipishwa faini ya kambi ipo confirmed au ni rumors?
Kuna mbumbumbu mwenzao anaitwa Jemedari Said, from nowhere tu ameamua kuwajaza upepo, na wenyewe wamejaa.
 
Kuna mbumbumbu mwenzao anaitwa Jemedari Said, from nowhere tu ameamua kuwajaza upepo, na wenyewe wamejaa.
Kwani si hata habari ya manara kugombana na raisi karia aliileta jemedari mwisho wa siku muhusika aliomba msamaha licha ya kukataa awali .
 
Kwa taarifa yako mwanasheria wa yanga anaitwa Simon, ni mtanzania pekee kuwahi kuteuliwa kuwa. Wakili wa mahakama ya ICC, ......mbali na hapo nikwambie tu acha roho mbaya
 
Kwa taarifa yako mwanasheria wa yanga anaitwa Simon, ni mtanzania pekee kuwahi kuteuliwa kuwa. Wakili wa mahakama ya ICC, ......mbali na hapo nikwambie tu acha roho mbaya
Kazi ni connection hata afanye kazi ikulu atakuwa kilaza tu hawezi shindwa kujua vitu vidogo vidogo kama hvyo anaacha team inapigwa faini kila siku kama mwanasheria hayupo
 
Wakili wa yanga ni Simon Patrick amekula shavu huko ICC wakili wenu si alikuwa Morrison?😂😂
 
Kazi ni connection hata afanye kazi ikulu atakuwa kilaza tu hawezi shindwa kujua vitu vidogo vidogo kama hvyo anaacha team inapigwa faini kila siku kama mwanasheria hayupo
Kiufupi unateseka.
Kunywa mo extra lile bomu ufe basi hatuna cha kukusaidia..
 
Hivi kuna mtanzania mjinga kushinda manara Tanzania kwa umri wake na ujinga anaopost haviendani kamuelimishe yule kwanza na wale wanaoenda airport kuwapokea wageni wakielewa uje unieleweshe na mimi sawa utopolo.
Okay, Nenda mahakamani basi kawasilishe malalamiko yako wewe na poyoyo mwenzako uyo jemedari saidi maana sisi atuna msaada kwako, Unamaliza bando kutuletea umbea wa kwenye vijiwe vya kahawa hapa, Rage alikuwa sahihi kumbe aliwaona mapema vichwa vyenu
 
Kwani hujui kama mambo yao yote ni utopolo utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…