sikuhizi umechangamka kweli umerudi penye amani..😂Mkuu, lile pengo kwenye safu ya ulinzi jana ni kukosekana kwa Bacca, bahati hatukukutana na timu yenye mikikimikiki sijui ingekuwaje!
Hivyo, safu pekee ya kuangaliwa marekebisho ni ya umaliziaji.
Sijui kwanini ila jana nimemuonea huruma sana Musonda, nilikuwa karibu nikaona alivyosikitika kukosa lile goli niliumia kumuona vile.
Nikiwaambia hamkubali, leo umekiri mwenyewe!sikuhizi umechangamka kweli umerudi penye amani..😂
enjoyNikiwaambia hamkubali, leo umekiri mwenyewe!
Nyie nina rahaaaaa, kuwa na mtu anayekupenda na kukupa uhuru wa kuwa bora ndio kila kitu.
Na ndio ananipa muongozo wa kuwaandikia maubuyu sasa… 😜
kama gsm ataendelea kubaki pale jangwani mbona ipo siku kila mtu hii nchi atashabikia yanga!!!Yanga wana timu mzuri saana
Sio tu Timu Nzuri pia yanga wanacheza vizuri
Wanatakiwa kurekebisha makosa madogo tu
Ili wawe bora zaidi na makosa hayo ni kujifunza jinsi ya kutumia nafasi ambazo wanatengeneza
Na kuboresha defance Yao tu kidogo
Wakifanya ivo hakika kwa mpira huu wao wa short pass hata muarabu anaweza kuliwa pale kwako misri
Sina Shaka watamtafuna belouizdad
Wakiongezwa viungo Wawili wenye kasi na washambuliaji Wawili robo fainali inafikiwa na Mpaka fainali ya Caf CL kwa Mara ya kwanza Kama Caf CC ilivyokuwa.Yanga wana timu mzuri saana
Sio tu Timu Nzuri pia yanga wanacheza vizuri
Wanatakiwa kurekebisha makosa madogo tu
Ili wawe bora zaidi na makosa hayo ni kujifunza jinsi ya kutumia nafasi ambazo wanatengeneza
Na kuboresha defance Yao tu kidogo
Wakifanya ivo hakika kwa mpira huu wao wa short pass hata muarabu anaweza kuliwa pale kwako misri
Sina Shaka watamtafuna belouizdad
Konkoni na musonda ni wafungaji wazuri mno na ndio maana konkoni pa1 na kukosa nafasi Yanga kaitwa timu ya taifa,nahisi kuna fala pale mbele anawapiga miba wenzakeMkuu, lile pengo kwenye safu ya ulinzi jana ni kukosekana kwa Bacca, bahati hatukukutana na timu yenye mikikimikiki sijui ingekuwaje!
Hivyo, safu pekee ya kuangaliwa marekebisho ni ya umaliziaji.
Sijui kwanini ila jana nimemuonea huruma sana Musonda, nilikuwa karibu nikaona alivyosikitika kukosa lile goli niliumia kumuona vile.