Yanga wanaandaa Event kuwacheka waliokufa kishujaa

Yanga wanaandaa Event kuwacheka waliokufa kishujaa

Timu ya Young African wameandaa event itakayofanyika ukumbi wa JNICC (Julius nyerere ) kwa lengo la kufundisha mashabiki wao jinsi ya kufurahi na kuwacheka waliokufa kishujaa

Yanga wanaamini hakuna kufa kishujaa bali kufa ni kufa tu.

Event hiyo itakuwa kwa muundo wa kisasa lakini lengo kuu ni kufundisha mashabiki jinsi ya kufurahi na kuwacheka waliokufa kishujaa.

Yote haya ni maandalizi ya kufurahia nusu fainali ya CAFCC.

Taaluma hiyo kwa mujibu wa msemaji ni muhimu kwa mashabiki wake na mpango umeanza kutekelezwa siku ya robo fainali kwa kuimba nyimbo mpya kama "Hatuna jirani Sie".

Vionjo vya wimbo"Hatuna jirani sie"ni kejeli tosha kwa waliokufa kishujaa kwani umejaa maudhi,karaha na kusononesha.

Chanzo ni Azam media
Ali Komwe anaidhalilisha Yanga yetu
 
Back
Top Bottom