OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Hiyo option ya kuchagua mechi ilishafutwa cku nyingi sanaKweli mtani nyani haoni kundule na umesema vzr hpo juu "kamati ilipitisha sheria ya mchezaji kuchagua mechi ya kukosa" so naomba ss tumuache Fakhi nae achague mechi ya kukosa km alivyofanya Ajibu kipindi kleeeeee au umesahau mtani nkukumbushe? yaani tufanye tu kwamba kweli Fakhi ana kadi 3 ila tumuache achague kwa mujibu wa sheria hyo ya Simba tuiache aliichagua kuicheza alikuwa na shughuli maalumu na wana simba mechi ijayo ataikosa tatzo lko wp? kwan mechi zimeisha?