Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
viingilio vya timu ya Yanga si huwa wanachukua kiasi cha fedha huko?
Kwa hiyo 🐸🐸 hawatalipa deni?Hawana ubavu wa kuifungia Yanga, labda Simba
Ili iweje kwa mfano.Kwa hiyo 🐸🐸 hawatalipa deni?
Ili wasifungiwe.Ili iweje kwa mfano.
Wadeni sugu ni ti efu efu na 🐸🐸Makolo FC walishalipa?
NALIA NGWENA aka Labani og bila kumsahau mzee pekee wa busara Uto tante mkuu kujeni mlipe deni.Lipeni Madeni Yanga Kujisifu kila Siku JIIEEESIIIEMMMU
Ongeza orodha mkuu 🐸🐸 fans wapo wengi humu na sio watu maskini wa kushindwa kulipa deni.
Wakili katoa taarifa kwa maana ya kwamba wadaiwa wanayo barua Ila hawataki kulipa.Jambo hili linataka kuficha jambo la kisiasa.unataka kunambia wameshndwa kuwatumia barua.
Mwasibu anajua Ila hataki kusema deni ni sh ngapi.Deni sh ngapiiiii?