Yanga wanadaiwa Tsh ngapi na BMT?

Yanga wanadaiwa Tsh ngapi na BMT?

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Ni ada ya mwaka Ila hawajalipa, hivi [emoji196][emoji196] mnadaiwa Tsh ngapi tuchange.
Screenshot_20240319-162208.jpg
 
Jambo hili linataka kuficha jambo la kisiasa.unataka kunambia wameshndwa kuwatumia barua.
Wakili katoa taarifa kwa maana ya kwamba wadaiwa wanayo barua Ila hawataki kulipa.

Taarifa hii inamsaidia mdau yeyote kujua kuwa wadaiwa hawajalipa deni hivyo hatua za kisheria zikichukuliwa wadau wasiwe na sababu ya kuilaumu BMT kwa hatua itakazo zichukua.

Hekima ni wadau kuwauliza wadaiwa kuwa je ni kweli hawajalipa?
 
Back
Top Bottom