Mwasibu anajua Ila hataki kusema deni ni sh ngapi.
Sasa tumuulize nani, au tumuulize Half american?Tapeli huyoπππ
Sasa tumuulize nani, au tumuulize Half american?
Hilo Baraza lenyewe kwanza hata halijulikani linafanya kazi gani. Bora lingevunjwa tu.
Leo mkuu ndo mnasema hivi π€£π€£π€£Hilo Baraza lenyewe kwanza hata halijulikani linafanya kazi gani. Bora lingevunjwa tu.
Amezoea kukwepa kodi huyoLipeni Madeni Yanga Kujisifu kila Siku JIIEEESIIIEMMMU
Tumuulize Ally MayayHilo Baraza lenyewe kwanza hata halijulikani linafanya kazi gani. Bora lingevunjwa tu.
Huyo aliendaa hiyo taarifa ni msaliti/mhaini.Wakili katoa taarifa kwa maana ya kwamba wadaiwa wanayo barua Ila hawataki kulipa.
Taarifa hii inamsaidia mdau yeyote kujua kuwa wadaiwa hawajalipa deni hivyo hatua za kisheria zikichukuliwa wadau wasiwe na sababu ya kuilaumu BMT kwa hatua itakazo zichukua.
Hekima ni wadau kuwauliza wadaiwa kuwa je ni kweli hawajalipa?