Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Yanga wanaendesha Timu yao kienyeji sana
1. Picha ya Hersi na Morrison haimanishi chochote Pengine walishika makaratasi matupu yasiyo na maandishi Kwani ile mifano ya check wanazopigaga pivha makampuni zinakuwaga ni check halisi mfano tu
2. Hersi si Kiongozi wa yanga Kiongozi yupi wa yanga aliiwakilisha yanga kusaini mkataba na morrison
3. watuwekee mkataba halisi kuondoa mzozo au wewe kayika hiyo picha unaona maandishi?
4. Nguo wanazovaa offivials wa yanga zina nembò ya gsm pekee huo ni weledi wa wapi hebu angalia mfano hyo fulana anapohijiwa morrison na saleh jembe fulana hyo ina nembo ya gsm tu na officials wa yanga wote wanavaaa sasa huyu ni mchezaji wa yanga au wa gsm
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1487545View attachment 1487546
1. Picha ya Hersi na Morrison haimanishi chochote Pengine walishika makaratasi matupu yasiyo na maandishi Kwani ile mifano ya check wanazopigaga pivha makampuni zinakuwaga ni check halisi mfano tu
2. Hersi si Kiongozi wa yanga Kiongozi yupi wa yanga aliiwakilisha yanga kusaini mkataba na morrison
3. watuwekee mkataba halisi kuondoa mzozo au wewe kayika hiyo picha unaona maandishi?
4. Nguo wanazovaa offivials wa yanga zina nembò ya gsm pekee huo ni weledi wa wapi hebu angalia mfano hyo fulana anapohijiwa morrison na saleh jembe fulana hyo ina nembo ya gsm tu na officials wa yanga wote wanavaaa sasa huyu ni mchezaji wa yanga au wa gsm
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1487545View attachment 1487546