Nilikuwa miongoni mwa watu wanaorushwa roho kwenye you tube na mitandao mingine nikitafuta habari za kweli za Yanga. "Wahuni" walikuwa wanabandika picha nyingine, maandishi mengine na habari tofauti kabisa, au wanatoa habari za tetesi za kijinga kabisa zilikuwa zinamaliza bundle langu bure. Sasa hv sihangaiki tena na ujanjaujanja ule, kama habari ya Yanga haiko Yanga tv ninaipuuza, sio ya kweli ni uzushi na upuuzi. Binafsi mmenisaidia kuacha kudanganywa na vichwa vya habari vya habari feki
Hongereni yanga tv kwa kuokoa pesa zetu na muda, chapeni kazi.