Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Jezi zao tulizinunua na kazi tuliyoitaka watufanyie wakaifanya tena hawakutumia hata ganzi maana iliacha maumivu makubwa sana kwa watani zetuNa walizinunua Kwa speed kuliko jezi za makolo [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jezi zao tulizinunua na kazi tuliyoitaka watufanyie wakaifanya tena hawakutumia hata ganzi maana iliacha maumivu makubwa sana kwa watani zetuNa walizinunua Kwa speed kuliko jezi za makolo [emoji23]
[emoji23][emoji23] achana nazo hizi mkuukimeumana huko[emoji116].umekalia Simba Simba.
View attachment 2961577
Timu zilizowahi kufungwa 5 na Simba pia Yanga ipo 😀 😀Na jezi za Masandawana zikauzwa hatari kwa wapenzi wa timu zilizowahi fungwa 5 na Yanga ikiwemo 5imba
2023?Timu zilizowahi kufungwa 5 na Simba pia Yanga ipo 😀 😀
Kuna ban huko FIFA 😀 😀MASHABIKI WA SIMBA SC MKO WAPI?
Yanga wanaizungumzia Yanga na Simba wanaizungumzia Yanga.
WanaYanga wameonesha kuumizwa sana kwa Yanga yao kutolewa.
WanaSimba wanaonesha kufurahi sana na hata kukejeli kwa Yanga kutolewa.
Sijaona mwanaSimba anayeonesha kuumizwa na kutolewa kwa Simba, labda wamezoea.
Sijaona MwanaYanga anayeonesha kufurahia kutolewa kwa Simba, kwao sio kitu muhimu.
Dalili zilionekana hata kabla ya mechi ya kwanza, wote mkawa mnazungumzia mechi moja; Young Africans Sports Club vs Mamelodi Sundowns FC
Yanga wakaambiwa wataoga magoli
Video za Masandawana zikasambaa
Mashabiki wa Simba, KMC, Ihefu na wote waliowahi kupigwa goli 5 na Yanga, wakawa mashabiki wa Mamelodi.
Lakini Simba haijaaibika,
Kufungwa nyumbani si aibu,
Kufungwa tena mechi ya marudiano si aibu, Ndio maana mashabiki hawazungumzi chochote.
Mlisema Al Ahly ya msimu huu ni mbovu, wakawafunga nje ndani, nayo hio sio aibu kwenu.
Wanyakyusa tuna msemo unasema;
"Japo wametufunga lakini chenga tumewala!"
Najiuliza; Mtoto wako akileta matokeo mabovu ya mtihani huku akiwa na furaha usoni, kisa eti mtoto wa jirani amefeli, huyo mtoto utambadilisha na ng'ombe au ng'uruwe?
Je hii kitaalamu inaitwaje?
Nawasilisha!View attachment 2961285
Umegusa penyeweMfano nyuzi zako zote huwa unaizungumzia timu gani?🙄🙄
Mada zako zote humu ni za kuisema Simba sijawahi kuona umeanzisha uzi unaoihusu Yanga yako.Aaah hapana mkuu....mnanioenea
Wewe siyo mchambuzi bali shabiki andazi wa gongowaziMimi Huwa nafanya uchambuzi wa timu mbali mbali mkuu
Sio wewe ni malezi na makuziunaharisha damu nakushauri tumia dawa.
Kumbe unajijua uko unprofessional kwa niniUnprofessional
[emoji23][emoji23]View attachment 2961765
Kiongozi wao
Nani kakosea?Imekosewa
Nasikia Azam wamefuta mahojiano na Mayele 😀View attachment 2961765
Kiongozi wao
Hadi radhi wameombaNasikia Azam wamefuta mahojiano na Mayele 😀
Kwa ajili ya Mayele 😀Hadi radhi wameomba