Yanga wanaizungumzia Yanga, Simba wanaizungumzia Yanga

Kuna ban huko FIFA πŸ˜€ πŸ˜€
 
Jezi zao tulizinunua na kazi tuliyoitaka watufanyie wakaifanya tena hawakutumia hata ganzi maana iliacha maumivu makubwa sana kwa watani zetu
Saizi wakivaa wanaonekana ni wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…