Yanga wanajiandaa kumpeleka Kamati ya Maadili Rais wa TFF kwa kuwatukana hadharani

Mwanaume sio kutulia mwanaume harakati angetulia wewe ungefahamiana wapi kama kanuni azijasajiliwa ungefahamia wapi kama wahuni wale wanaficha nakala ya hukumu

Mwanaume kupigania unacho amini kutulia n kwa wanawake na wanaume goi goi
Weka hapa hizo kanuni ambazo hazijasajiliwa

Anapigania nini mbona anajiliza mara barabra kafanya hivi na yeye anavaa khanga?
 
Inasikitisha sana kuwa club kubwa na yenye hadhi kama Yanga kuingia kwenye mtego wa kutetea upunguani wa Haji Manara. Huyu mtu ni mwongo,mwizi,mkororofi,mtukanajj,mgomvi,hana adabu,mlevi na mvuta bangi.
Leo ndio mnajua kua yanga ni club kubwa na yenye hadhi? Viongozi wa simba wanatozwa faini ya laki tano tano na hawafungiwi miaka mingi... ila haji faini milion 20 na miaka 2!! Halafu mnacheka kwakua amekomolewa na mnataka yanga ikae kimya? Hapana hapana.
 

Mbona manara kasema kwenye press ya Jana kuwa ataendelea kuwa msemaji wa Yanga?
 
Hahaha wewe jamaa unaongea kwa uchungu unafikiri umedhulumiwa mke? Hebu punguza mihemko isiyo ya lazima kutafuta Ugali kwa manara kusikuharibie siku. Kweli uto aka vinyesi fc hamnazo
 
Vinyesi fc[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kanuni zinasema faini isiwe chini ya 3M

Sasa kisheria ni kwamba angelipishwa faini ya 2M alikuwa ana haki ya kusema sheria zimevunjwa

Karia awe shahidi wa nini wakati mshtakiwa alishakiri kosa?

Eti Rasta we ulitaka kuona ushahidi gani mwingine?
 
Mwanaume sio kutulia mwanaume harakati angetulia wewe ungefahamiana wapi kama kanuni azijasajiliwa ungefahamia wapi kama wahuni wale wanaficha nakala ya hukumu

Mwanaume kupigania unacho amini kutulia n kwa wanawake na wanaume goi goi
Kanuni ambazo hazijasajiliwa ndio hizo hizo zilizotumika kuendeshea lihi mpaka Yanga inachukua ubingwa

Kwa hiyo ukiona dosari kwenye hizo kanuni basi unaenda kuvuruga kila kitu ikiwemo na Yanga kutambulikwa kama ni mabingwa wa 2021/2022
 
Shafii daud akafungiwa miaka mitano unaelewa kosa lake?

Alikosoa mkataba ule wa GSM hilo nfio kosa

Hapo hajatukana

Manara alitukana na sio kutukana tu bali alimtukana raisi wa shirikisho

Lakini pia licha ya kutukana alimtishia (criminal threats)

Hata wewe utaelewa kwanini kumtusi bro na kumtusi faza hakuwezi kuwa na uzito sawa

Kingine cha ziada

Inamaana Manara alitoa lugha ya matusi kwa kujiamini atalipa faini ya laki 5 na mambo yataendelea na ndio maana alikuwa na kiburi?
 
Kanuni zinasema faini isiwe chini ya 3M

Sasa kisheria ni kwamba angelipishwa faini ya 2M alikuwa ana haki ya kusema sheria zimevunjwa
kama sheria inasema hivo mangungu aliewatukana tff ilikuwaje akalipa laki 5?
 



Jamaa mzinguaji,ona alivyo na propaganda za kitoto! Hiyo kweli ni sigara kama mwenyewe anavyodai
 
Hahaha wewe jamaa unaongea kwa uchungu unafikiri umedhulumiwa mke? Hebu punguza mihemko isiyo ya lazima kutafuta Ugali kwa manara kusikuharibie siku. Kweli uto aka vinyesi fc hamnazo
Kama nimeongea kwa uchungu basi wewe ongea kwa usufuria.
 
Kwenye hukumu iliyotolewa na kamati ya maadili, nioneshe tusi alilotukana Haji?
 
Club ina hadhi lakini wanachama na washabiki ndiyo wapumbavu kupitiliza na wewe ndiyo kielelezo. Yaani watopolo nyie ni wapumbavu sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kama nikweli Basi hao viongozi wa yanga watakuwa wameshikiwa akili na huyo mzungu pori,

sasa huo ushaidi watakuwanao wa hayo matusi ya Karia?
Kwani mama zako hao Tff wanao ushahidi wa Manara kumtukana karia mashine??
 
nasikia ushahidi upo wa video Karia akiidhalilisha Yanga kesho wanairusha insta! Wapi mwijaku!!
 
Manara ni kama mfa maji anatapatapa kwa kuropoka neno lolote mradi ajiokoe na balaa lililomkuta, ameshajua ndio anazama hivyo, hayo maneno ya kutunga Manara shahidi wake nani?

Kama ningekuwa Kamati ya Maadili TFF ningemrudisha Manara kizimbani kwa kusema uongo juzi, ningehakikisha namchinjia baharini miaka mingine miwili nimpotezee mbali kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…