- Thread starter
- #61
manara ana upuuzi wake bt katika hili kaonewa, wote walokuwepo kwenye jukwaa lile wanajua karia ndo mkorofi, tff wameiendesha haraka na kihuni kesi hii bila kuwashirikisha mashuhuda ili kuinusuru tff na aibu ya karia.Manara ni kama mfa maji anatapatapa kwa kuropoka neno lolote mradi ajiokoe na balaa lililomkuta, ameshajua ndio anazama hivyo, hayo maneno ya kutunga Manara shahidi wake nani?
Kama ningekuwa Kamati ya Maadili TFF ningemrudisha Manara kizimbani kwa kusema uongo juzi, ningehakikisha namchinjia baharini miaka mingine miwili nimpotezee mbali kabisa.