manara ana upuuzi wake bt katika hili kaonewa, wote walokuwepo kwenye jukwaa lile wanajua karia ndo mkorofi, tff wameiendesha haraka na kihuni kesi hii bila kuwashirikisha mashuhuda ili kuinusuru tff na aibu ya karia.Manara ni kama mfa maji anatapatapa kwa kuropoka neno lolote mradi ajiokoe na balaa lililomkuta, ameshajua ndio anazama hivyo, hayo maneno ya kutunga Manara shahidi wake nani?
Kama ningekuwa Kamati ya Maadili TFF ningemrudisha Manara kizimbani kwa kusema uongo juzi, ningehakikisha namchinjia baharini miaka mingine miwili nimpotezee mbali kabisa.
Manara hafai. Anajifanya anaujua sana mpira.Manara akishashikwa pabaya anaanza kueneza propaganda ambazo zinawahusu watu wengine, Hilo swala la vinyesi amelisema ili mashabiki wa yanga wamuunge mkono na waichukulie hii kama vita yao huku kiuhalisia ni vita yakwake mwenyewe.
Huyu jamaa ukimchekea ataiharibu Sana tasnia ya mpira hapa nchini. Ni kufungia maisha tu...anachojivunia anao mambulula ambao hawajielewi hawawezi kureason wanaompa support
Walau ana pesa nyingi sanaKama na nyinyi mlivyoshikwa masikio na Mudi wa Bombay!
Unataka nikujibu matusi kama yako ili nionekane mjinga kama wewe? Sawa wewe sie wapumbavu na wewe ndie mwerevu, hongera mwerevu.Club ina hadhi lakini wanachama na washabiki ndiyo wapumbavu kupitiliza na wewe ndiyo kielelezo. Yaani watopolo nyie ni wapumbavu sana
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu kwenye ushabiki wa mpira swala matusi kuepukika ni ngumu ndio maana tunashauri usiangalie mpira na mtu unayemuheshimu kama hajui character's za mpira anyway manara anaweza kuwa na makosa lakini adhabu aliyopewa ni kumkomoa TFF wariview sera, kanuni na taratibu zao zina mapungufu mengi sanaManara akishashikwa pabaya anaanza kueneza propaganda ambazo zinawahusu watu wengine, Hilo swala la vinyesi amelisema ili mashabiki wa yanga wamuunge mkono na waichukulie hii kama vita yao huku kiuhalisia ni vita yakwake mwenyewe.
Huyu jamaa ukimchekea ataiharibu Sana tasnia ya mpira hapa nchini. Ni kufungia maisha tu...anachojivunia anao mambulula ambao hawajielewi hawawezi kureason wanaompa support
Pesa nyingi wapi! Janjajanja tu ndiyo nyingi.Walau ana pesa nyingi sana
Amewashika nyinyi ambao kwa sasa mkiamka asubuhi mpaka jioni mnamzungumzia yeye tu.Aiseeh kwahiyo unakubali kuwa mmeshikiwa akili na Manara?
😂
kwa sasa mikia wanamuogopa sana manara kuliko hata wachezaji wanaoingia uwanjani ndo maana wamelivaa hili kupitiliza, wanasahau kua kufungiwa manara hakutapunguza kuwapelekea moto kama ilivokua msimu jana.Amewashika nyinyi ambao kwa sasa mkiamka asubuhi mpaka jioni mnamzungumzia yeye tu.
Forbes watakuchekaPesa nyingi wapi! Janjajanja tu ndiyo nyingi.
Asante dada mkubwa barikiwa upate mume wa kukuoaUnataka nikujibu matusi kama yako ili nionekane mjinga kama wewe? Sawa wewe sie wapumbavu na wewe ndie mwerevu, hongera mwerevu.
Kama ndio kafanya kazi tumepata ubingwa acha aendelee kufanya hio kaziNadhani sasa Manara anaifanya kazi aliyotumwa na Simba vizuri pale jangwani
Kama ushahidi wa matusi ya manara Upo basi matusi ya karia utakuwepo maana walikuwa wanasemezanaKama nikweli Basi hao viongozi wa yanga watakuwa wameshikiwa akili na huyo mzungu pori,
sasa huo ushaidi watakuwanao wa hayo matusi ya Karia?
Sawa mnyero FCNdio maana wanaitwa vinyesi fc akili awana