Yanga wanajipendekeza sana kwa Simba

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Yaani Yanga hii derby wanavyopigia kelele hadi kero wakati Simba wanachukulia kawaida tu kama mechi ya Mbeya Kwanza au Prison.

Hamna mwanasimba anayewaza hii mechi maana ni kama mechi za kawaida tu,Ila hawa yanga wanavyotangaza unaona kabisa hawaamini kukutana na Simba wanaocheza kimataifa
 
Hamna mwanasimba anayewaza hii mechi maana ni kama mechi za kawaida tu.

Swali, huyu mwanasimba aliyeleta huu uzi, ameuleta baada ya kuwaza mechi na yanga au ni vipi?

Asanteni kwa kunisikiliza.
 
Nawaelewa Simba SC wanavyotamani kuingia mitini kwenye mechi hii

Ila nasikitika kuwaambia ya kwamba hili halitofanikiwa na kutowezekana kwenu kukimbia
 
Nawaelewa Simba SC wanavyotamani kuingia mitini kwenye mechi hii

Ila nasikitika kuwaambia ya kwamba hili halitofanikiwa na kutowezekana kwenu kukimbia
Miluzi mingi humpoteza mbwa ,tukutane baada ya mechi kesho
 
Hamna mwanasimba anayewaza hii mechi maana ni kama mechi za kawaida tu.

Swali, huyu mwanasimba aliyeleta huu uzi, ameuleta baada ya kuwaza mechi na yanga au ni vipi?

Asanteni kwa kunisikiliza.
Mimi ni Ya....nga!
 
Naelewa wakati mnaopitia kwasasa ila hakuna namna njooni uwanjani tuwapigie pira la kufa mtu
mmejiamini sana derby hii ya kesho kwamba mpo vizuri na kuiona Simba dhaifu ,huwa inaeleweka kwenye derby ya kariakoo anayejiamini anakalishwa ,trust me lolote laweza kutokea Yanga wakafungwa
 
mmejiamini sana derby hii ya kesho kwamba mpo vizuri na kuiona Simba dhaifu ,huwa inaeleweka kwenye derby ya kariakoo anayejiamini anakalishwa ,trust me lolote laweza kutokea Yanga wakafungwa
Timu yote ya simba ni ya wavunja kuni
 
Kesho yanga anakufa kwa namna yoyote ile na ndio utakua mwisho wa kelele zao mitandaoni.
Naona manara akimaliza mwaka vibaya na lile Domo lake sijui atakua anaandika Nini huko istagram
 
Kesho yanga anakufa kwa namna yoyote ile na ndio utakua mwisho wa kelele zao mitandaoni.
Naona manara akimaliza mwaka vibaya na lile Domo lake sijui atakua anaandika Nini huko istagram
Haya wewe matokeo si unayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…