Rungu la caf,Simba ndio timu iliyo lifedhehesha Taifa Kwa kufanya mambo ya kishirikina Tena ugenini na kupigwa fain.
Caf wamesha pokea malalamiko mengi juu ya vitendo vya kishirikina vinavyo husisha klabu ya Simba.
Endapo mtaendelea na tabia izo safarihii Rungu la Caf litatua utosini na kuleta madhara makubwa Kwa mbumbumbu fc.
Mavi a.k.a kinyesi kyupini cha pale Arusha?Au unamaanisha mavi gani?anafananisha dhahabu na mav
Mtanzania anayetumia akili yake kufuatilia mpira hawez kubeza mafanikio ya simba kimataifaMAKOLO NI MAKOLO TU
Kwani ninyi mmewahi kufanya nini kimayaifa zaidi ya kuroga pale S.A?
Hamna mafanikio yoyote kimataifa huwa mnaenda kusindikiza wenzenu
Nabi kichwa kigumu. Watu wanapiga kelele wee kuhusu Bangala achezeshwe kiungo mkabaji lakini yeye halielewi bado anaamini Aucho ni mkabaji. Timu lina ruhusu magoli ovyo ovyo hata kwa mbuni fc utegemee itoke na cleen sheet kwa timu ya Al HilalNabi ni mbovu kwenye mechi za kimataifa. Ana panga ki kosi uta dhani ana cheza mechi za Ligi na Mbeya City au Singida Big Stars. Hizi Game za CAF ni za mtoano. Hakuna kulemba. Ali takiwa , aanze na Joyce Lomalisa badala ya Jesus Moloko. Pia, ange mtoa kibwana Shomari hata dk ya 26 tu, kwani alipwaya aingie Bakari Nondo Mwamnyeto afu abadilidhe mfumo no na mbinu , wachezaji uwanjani kati ya Faisal na Aziz Ki. Pia aongeze, UKALI. Wachezaji wana lipwa mishahara minono kuliko watu wa Masters Degree, mil 7 hadi mil 15 ila hawajitumi, hawana fighting spirit, mpira wanao cheza hauna maajabu...ni sawa tu na mpira wa Polisi Tz. Aucho, Bangala, Aziz Ki, Jesus Moloko, Diarra, Kisinda, nk hawa wana cheza chini ya kiwango. Aziz Ki ana tabia ya kupooza sana mpira pale shambulizi linapo hitajika. Diarra ana zubaa sana golini na ni mvivu wa kufanya maamuzi hasa mipira ya kona ..hata yale Makosa ya goli la jana (kosa la Bangala), kipa (Diarra) angekuwa shapu, ange futa makosa ya beki kwa kufuata na ku udaka mpira juu hewani (ana tabia ya kubaki sana golini bila kufuata mipira juu kama alivyo kuwa ana fanya kipa wa Al Hilal). Faridi Mussa huwa ana kosa la kukosa Focus (ana mbio na anaweza kukokota mpira vizuri sanaaa ila either atoe cross mbovu au achelewe kutoa cross/pasi hana tofauti sana na Kibu Denis).
Mechi za Yanga hazina nguvu, pressure. Kocha ajaribu kuwachezesha mazoezi ya mpira wa Nguvu na Kasi kama Manchester City (ikiwezekana mazoezini wacheze dk 120).
Viongozi wa YANGA kuweni wakali. Wapeni Malengo wachezaji. Penalty ziwepo kwenye Mikataba ya mishahara zao kama Manchester United. Hela ya YANGA tuna hitaji kuona matunda yake. Kama ni wachezaji wa hivyo! Fukuzeni sajilini wa ndani ya nchi tu, hizo hela za Wadhamini tujenge uwanja wetu.
YANGA BADO INA NAFASI YA KUFUZU. KOCHA AACHE MASIHARA.
Yanga ina maono kimo cha mbilikimo.. Maono yao ni mwisho ya uono kimo cha panzi.. Wao wamewekeza kumfunga SIMBA na si zaidi ya hapoTimu ya Yanga inakosa bahati ya michuano ya kimataifa hata wapangiwe vibonde vya namna gani wanakuwa wana struggle tofauti na Simba.
Simba wanaelekea kuwa kama real madrid na uefa champions league hata timu iwe mbovu vipi lakini kwenye uefa champions league wao ni habari nyingine.
Yanga wanapaswa kufanya kazi za ziada mno kujiimalisha katika michuano hiyo
Upo mkuu?Jitutumueni mnavyo weza ila mpira ni uwekezaji. Mpira auna DNA au Umaarufu, kama ukuwekeza vya kutosha utapigwa kama ngoma.
Wewe umejuaje mpaka jina la Mganga wao?Inahitaji uwe mzoefu wa mambo haya hadi kuwafahamu kwa majina waganga na makazi yao.Hili la Waganga ungekaa kimya tu kwa timu za Tanzania. Simba wana mganga kijiji cha Ntalamila wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa. Just imagine Dar to Rukwa kusaka Waganga?