Yanga wanakwama wapi? Haya ndio matokeo yao ya raundi ya pili

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Toka raundi ya pili imeanza, Yanga ameambulia point 7 kati ya 18 katika michezo 6 ambayo wamekwishacheza.

Simba tunaomba msitutanie kwenye hili, sisi Yanga tunakwama wapi jamaniiiii?

 
Toka raundi ya pili imeanza, Yanga ameambulia point 7 kati ya 18 katika michezo 6 ambayo wamekwishacheza.

Simba tunaomba msitutanie kwenye hili, sisi Yanga tunakwama wapi jamaniiiii?View attachment 1719546
Average players, huwezi kuwa na wacheza judo kama kina Yasin, akiwa free utamwona bonge la mchezaji ila akipata presha kituko yan, mchezaji hata kupiga cross changamoto, alafu kaitwa timu ya taifa!

Huyo ni mfano tu, kuna wachezaji wengine hata ball control utata, kama Fiston, nchimbi wana control chumba kizima, inaumiza sana yan!
 
Endeleeni kutengeneza timu watani huu ulikuwa sio msimu wakushindana ingieni sokoni leteni wachezaji wamaana beki waamaana kiungo washambuliaji 2/3 strike mmoja au wawili tena mapema muanze pre season mapema ikiwafaaa leteni coach msaidizi mzoefu kwa ligi ya ndani ila kwa caf sidhani kama kaze ni compitent kiivyo pia uongozi ongeezeeni nyama
 

Umeongea kwa uchungu mnooo
 

Point mkuu
 

Haya tumefanyia huu ushauri wako. Kwa sasa tuna utajiri wa wachezaji! Akina Mayele, Makambo, Saidoo, Aucho, Bangala, na wengineo wengi tu! Tuna makocha wawili hatari! Profesa Nabi na Cedric Kaze! Ni vipigo tu mwanzo mwisho kwa timu pinzani!

Na usisahau Mwanzilishi wa huu uzi mheshimiwa FORTALEZA anagugumia tu kwa maumivu! Maana haamini kama kweli Yanga imekuwa ni timu tishio kuliko ile timu yake pendwa! Dah! Ni hatari tupu.
 
Simba runawakumbusha tu round hii hamna mlundikano wa viporo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…