Yanga wanakwenda kuifundisha Simba jinsi ya kufika nusu final ya club bingwa

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Naamini Yanga msimu huu wanakwenda kufundisha Simba namna gani ya kuingia nusu final ya Klabu bingwa Afrika.

Yanga naamini watafika nusu final

Kuhusu final ndo sijui sasa lakini nusu final watafika

Save uzi huu Nipo hapa Sitaki kuwa na maneno mengi Ila tutakutana wote 2024 Mungu atupe uzima tu
 
Mimi ni nani hata nikupinge
 
Kwani Yanga ilikuwa inakosa nafasi ya kushiriki CAF CL? Mbona imeshiriki kuliko timu zote nchini, ila mara zote inatolewa mapema? Inataka kufundisha au kufundishwa?
Amini tu
Umesoma title vizuri? [emoji16]
 
Mmewachungulia wapinzani wenu mkaona ktk hali ya kawaida hakuna wa kuwazuia kuingia makundi. Sasa unaamini miteremko itaendelea hata kwenye makundi
 
Mmewachungulia wapinzani wenu mkaona ktk hali ya kawaida hakuna wa kuwazuia kuingia makundi. Sasa unaamini miteremko itaendelea hata kwenye makundi

Sio kwa yanga hii
 
Mkuu tulia tuli wala usibishane na wafuasi wa mangungu, Mambo yatakuwa hadharani kipindi sio kirefu na timu bora itaonekana uwanjani, watabadilisha statement zao hao kama walivyozoea but ubora wa yanga wala auitaji maelezo mengi majibu watayapata uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…