Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Timu nyingi kabla ya kucheza na Yanga hua hazijawahi kufungwa nyumbani kwaoAl Merrikh sio timu nyepesi mkuu, kabla ya kuwaza robo na nusu kwanza fikiria namna ya kutoboa kwa Al Merrikh. Na wale Otoh anayecheza na Al Merrikh hawajawahi fungwa nyumbani kwao.