Yanga wanakwenda kuifundisha Simba jinsi ya kufika nusu final ya club bingwa

Al Merrikh sio timu nyepesi mkuu, kabla ya kuwaza robo na nusu kwanza fikiria namna ya kutoboa kwa Al Merrikh. Na wale Otoh anayecheza na Al Merrikh hawajawahi fungwa nyumbani kwao.
Timu nyingi kabla ya kucheza na Yanga hua hazijawahi kufungwa nyumbani kwao
 
Mm ni YANGA ila sisi YANGA kufika nusu fainal labda nusu ya maharage
 
Nawatabiria Wananchi makubwa kwa mara nyingine tena.
 
Mayele hayupo sasa nani atafunga magoli tena. Nlishaanza kuipenda yanga kwaajili ya mayele kasepa na mimi naacha kuipenda 😂😂😂😂😂 kuna shabiki aliskika akisema hivyo
 
Sasa vkati ya Simba na yanga nani wa kwanza kufika mbali?
Muwe na historia kabla ya kuandika huu ushuzi!
 
Sasa kati ya Simba na yanga nani wa kwanza kufika mbali?
Muwe na historia kabla ya kuandika huu ushuzi!
 
Moyoni unaamini kuwa Simba ndio bingwa wa kihistoria ambaye amebeba ubingwa mara nyingi na kushiriki club bingwa huku akipata shida kufika nusu fainali na kwa hiyo yanga inayochechemea ndiyo itakuja kumfundisha mbabe huyu jinsi ya kuingia nusu fainali!
 
Kwisha habari yako. Yanga hamna timu ya kucheza klabu bingwa.

Myaongeza mwaka wa 28 bila kucheza makundi klabu bingwa.
 
This time arround mtabetuliwa mpaka vyupi mvae vichwani
 
Namna ya kutolewa hatua za mwanzo. KWA hapo mnaweza kutufundisha.

Unafundishaje kitu ambacho huna uzoefu nacho. Una miaka 26 bila kucheza makundi Cafcl halafu uje ufundishe namna ya kucheza nusu fainali! Una Akili wewe!

NB:Ndio mliambiwa hamna Akili na Ni kweli.
 
Yanga ina ubora gani bwana timu toka 1998 inashiriki tu klabu bingwa lakini hata kucheza hatua ya Makundi tu haijawahi sasa itutishe kwa lipi kwenye Cafcl au mnafikiri kule ni confederation ambako nusu unaweza kutana na timu inashuka daraja kwenye ligi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…