William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Wakili wa Feitoto sikuhizi umepoa sana, vipi safari ya CAS lini?Inasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa
1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz ki Ni moja kwanini Aziz ki alipwe m10+ uku fei akipewa robo ya mshahara wake
Je watafanikiwaa
Nyie ndio mnatufanya watanzania tuonekane ni wajinga. Kuliko kupoteza muda wa kuandika vitu huvijui, ungesoma kidogo mambo ya mikataba.Inasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa
1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz ki Ni moja kwanini Aziz ki alipwe m10+ uku fei akipewa robo ya mshahara wake
Je watafanikiwaa
Kama mlimuwekea mlango wa kutokea muacheni atoke.Alishikiwa bunduki wakati anasaini ?
Mbona Mane alizidiwa mshahara na magarasa wengi pale Liva ?
Sahihi wengi tu wanakimbizwa mshara pale msimbaz kina oka lkn hkn anae wasemehaBadala ujadili ya Sawadogo namna gani analipwa pesa kubwa kuliko mzamiru na hakuna anachokifanya unakuja kujadili Mambo ya yanga.
Alaa...!Kumbe zianzishwapo sledi kuhusu Simba na Wydad tena na hata wasiohusika huwa hamzioni?Badala ujadili ya Sawadogo namna gani analipwa pesa kubwa kuliko mzamiru na hakuna anachokifanya unakuja kujadili Mambo ya yanga.
Taarifa umepata wapiInasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa
1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz ki Ni moja kwanini Aziz ki alipwe m10+ uku fei akipewa robo ya mshahara wake
Je watafanikiwaa
Hujawahi hata siku moja kuleta humu jukwaani, hoja yenye mashiko. Hoja zako zote mara nyingi huacha maswali mengi, kuliko majibu.Inasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa
1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz ki Ni moja kwanini Aziz ki alipwe m10+ uku fei akipewa robo ya mshahara wake
Je watafanikiwaa
Inasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa
1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz ki Ni moja kwanini Aziz ki alipwe m10+ uku fei akipewa robo ya mshahara wake
Je watafanikiwaa
yanga haina hasara kwa aziz k kwani ametupeleka makundi,amesawazisha goli dhidi ya simba kwakutaja machacheInasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa
1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz ki Ni moja kwanini Aziz ki alipwe m10+ uku fei akipewa robo ya mshahara wake
Je watafanikiwaa
nyuz zingine za kitoto kweliInasemekana Yanga wanataka kumuuza feitoto thamani ya pesa walizotumia kumnunua Aziz ki. Yani dola 200,000+ ambayo Ni karibu m 500. Sasa Cha kujiuliza Sasa
1. Je Kama thamani ya feitoto na Aziz ki Ni moja kwanini Aziz ki alipwe m10+ uku fei akipewa robo ya mshahara wake
Je watafanikiwaa