Mbumbumbu mnapenda kulialia sana kenge ninyiSheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
Umeandika uchafu kama ule unaopatikana kwenye makalio yako lete hicho kifungu tukisome huku kima weweNmeandika maandishi ya kueleweka kabisa. Jibu hoja acha u.pumbavu
Weka basi na hiko kifungu cha sheria ili tukisome. Pengine hawajajua kama kuna sheria inayokataza hilo jambo. Mimi mwenyewe ni mmojawapo hivyo kutuwekea hiyo sheria hapa itakuwa umewasaidia wachezaji, mashabiki, na wana JF wasiojua nikiwemo na mimiSheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
Kama hio Sheria ina vunjwa basi ni duniani kote maana mara nyingi naona goli likifungwa wanashangilia nje ya pitchSheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
Ligi ya giesem hii mkuu ina mambo mengi. Tucheze tu mpira . Habari ya kanuni sijui sheria tutakuja kuzifuata huko baadae .Na bado,ndo kwanza kumekucha[emoji16]
Mkuu sababu si umesema wanaenda rusha jezi ama unataka sababu gani tena Mie nkajua wanatoka tu kuzurulaElewa kwanza jambo moja ndio ulete hoja ya pili. Kuna mchezaji kutoka ndani ya mchezo kama kurusha mpira, kupiga kona, kushangilia goli. Ila huwezi kutoka uwajani bila sababu maalum tena bila ruhusa ya refa.
Weka hapa hiyo sheria tuisome wote wacha kuendelea kulia. Umeombwa sheria, iweke tu hapa watu wasome. Wacha kutoa tafsiri zakoElewa kwanza jambo moja ndio ulete hoja ya pili. Kuna mchezaji kutoka ndani ya mchezo kama kurusha mpira, kupiga kona, kushangilia goli. Ila huwezi kutoka uwajani bila sababu maalum tena bila ruhusa ya refa.
Wewe ndiye yule Meneja uliyeachwa na mchezaji wako hivi karibuni?Sheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
Nimemuomba tokea juu atuwekee hiko kifungu tukisome kwa faida ya wote. Maana mimi nilikuwa sijui kama kuna sheria inakataza na najua ni wengi tu hawaijui. Atuwekee basi hapa hiyo kanuniWeka hapa hiyo sheria tuisome wote wacha kuendelea kulia. Umeombwa sheria, iweke tu hapa watu wasome. Wacha kutoa tafsiri zako
Huwa natumia kauli moja tu Kwa watu kama wewe; "Kuna watu mnasababisha mashabiki wa Simba waonekane Mbumbumbu". Yaani hili la kugawa jezi nalo kwako ni nongwa?Sheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.
Ulikosa jezi? Acheni kulialia jamani! Too much sasaSheria/kanuni zipo wazi. Baada ya kukaguliwa na ku-line up kwa taratibu zingine za mchezo kukamilika, hairuhusiwi mchezaji/wachezaji kutoka nje ya uwanja. Ila nmeshangaa wachezaji wa Yanga kutoka nje ya uwanja kugawa/kurusha jezi kwa mashabiki. Tff na bodi ya ligi wako kimya tu, hawaonyi wala kukemea. Huu ni uvunjivu wa sheria/kanuni za soka.