Yanga wanavyodharau kombe la shirikisho, ile fainali ilikuwa ya Kombe Gani?

Yanga wanavyodharau kombe la shirikisho, ile fainali ilikuwa ya Kombe Gani?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine.

Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki na kufika hadi fainali na kujisifu kwa kufika fainali ya mashindano hayo.

Yanga wana matatizo gani kwani. Au zile supu zinawatia wazimu?

😃😀😆
 
Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine.

Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki na kufika hadi fainali na kujisifu kwa kufika fainali ya mashindano hayo.

Yanga wana matatizo gani kwani. Au zile supu zinawatia wazimu?

😃😀😆
La nyie 5imba Thiiimbaaaa Guvu Moya Wamama mtapigwa kama ngoma.
 
Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine.

Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki na kufika hadi fainali na kujisifu kwa kufika fainali ya mashindano hayo.

Yanga wana matatizo gani kwani. Au zile supu zinawatia wazimu?

😃😀😆
Ndio kama kombe la kike tusiseme, dume zima unasubiri upoteze ubingwa alafu uende kombe la viti maalumu khaa
 
Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine.

Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki na kufika hadi fainali na kujisifu kwa kufika fainali ya mashindano hayo.

Yanga wana matatizo gani kwani. Au zile supu zinawatia wazimu?

😃😀😆
umeanza lini kufatilia mpira..?
huo ni utani wa jadi, kama unabisha kaangalie maneno ya wanasimba wakati yenyewe inashiriki championship na yanga shirikisho!. hata wao walikuwa wakisema maneno ya shombo tupu! hivyo hata usijiumize akili kesho keshokutwa simba atakuwa championship na yanya federation na maneno yatatoka yaleyale!.. usijisumbue na utani wa watu utajijuta unatumia nguvu bure kumbe wenyewe wakibishana ndo burudani na kwenye maisha ya kawaida wanasaidiana kama vile sio wao wanaotaniana mpk matusi!.

nafikiri kuna watu mtapata tabu sana kuja kuuelewa ushabiki wa wana simba na yanga!, na kwavile mimi ni yanga ngoja niwatanie wanasimba hawa kaka Mshana Jr na bibie Kalpana ati kombe lenu la wamama mnaanza kucheza lini...??🤣
 
Aliyeanza kuita kombe la looser alikuwa haji manara wakati akiwa msemaji wa simba.
Mbona inajulikana?
 
umeanza lini kufatilia mpira..?
huo ni utani wa jadi, kama unabisha kaangalie maneno ya wanasimba wakati yenyewe inashiriki championship na yanga shirikisho!. hata wao walikuwa wakisema maneno ya shombo tupu! hivyo hata usijiumize akili kesho keshokutwa simba atakuwa championship na yanya federation na maneno yatatoka yaleyale!.. usijisumbue na utani wa watu utajijuta unatumia nguvu bure kumbe wenyewe wakibishana ndo burudani na kwenye maisha ya kawaida wanasaidiana kama vile sio wao wanaotaniana mpk matusi!.

nafikiri kuna watu mtapata tabu sana kuja kuuelewa ushabiki wa wana simba na yanga!, na kwavile mimi ni yanga ngoja niwatanie wanasimba hawa kaka Mshana Jr na bibie Kalpana ati kombe lenu la wamama mnaanza kucheza lini...??🤣
Tunaanza trh 27 mama mstaafu 😆 😆 😆
Uliyoongea ni ukweli mtupu..kuna watu mlihenyeka kama nyie wkt mnacheza federetion?...hahahhaha 😆
 
Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine.

Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki na kufika hadi fainali na kujisifu kwa kufika fainali ya mashindano hayo.

Yanga wana matatizo gani kwani. Au zile supu zinawatia wazimu?

😃😀😆
Mara hii mmesahau enheee..!!! Haya maneno yote ni yenu yamewarudia.
Na mjue kuwa kipimo chenu huko ni fainali..!!
 
Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine.

Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki na kufika hadi fainali na kujisifu kwa kufika fainali ya mashindano hayo.

Yanga wana matatizo gani kwani. Au zile supu zinawatia wazimu?

😃😀😆
Unapoudundisha mpira ukutani, kuwa makini usije ukakubamiza usoni. Yanga hawajawi kudharau Kombe la Shirikisho, Simba ndiyo waliokuwa wakidharau kombe la Shirikisho wakidai ni kombe la losers lisilo na hadhi hivyo timu kama haiwezi ikashiriki Kombe hilo, sasa hivi mpira umedunda ukutani na kuwarudia na kiwaamiza usoni. Wanachofanya Yanga ni kuwakumbusheni tu maneno yenu
 
Kwa zaidi ya miaka 45 nafuatilia Mpira. Umama au uanamke si udhaifu.

Watu wenye fikra za kizamani ndiyo hudhani binadamu kuumbwa mwanamke ni ishara ya udhaifu. Utani wenye kutumia ujinsia kama ishara ya udhaifu siyo utani wa jadi.
tulieni dawa iwaingie!
 
Kwa zaidi ya miaka 45 nafuatilia Mpira. Umama au uanamke si udhaifu.

Watu wenye fikra za kizamani ndiyo hudhani binadamu kuumbwa mwanamke ni ishara ya udhaifu. Utani wenye kutumia ujinsia kama ishara ya udhaifu siyo utani wa jadi.
Watu kama hao unawaaangalia tuu...maana walitoka huko huko na usiku wanapatafuta huko huko...
 
Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine.

Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki na kufika hadi fainali na kujisifu kwa kufika fainali ya mashindano hayo.

Yanga wana matatizo gani kwani. Au zile supu zinawatia wazimu?

😃😀😆
Tulishakubaliana tangu msimu juzi kuwa shirikisho ni kombe la maluza na akina mama au hamkusema hivyo

Wembe ni ule ule
 
Back
Top Bottom