Yanga wanavyodharau kombe la shirikisho, ile fainali ilikuwa ya Kombe Gani?

Yanga wanavyodharau kombe la shirikisho, ile fainali ilikuwa ya Kombe Gani?

Watu kama hao unawaaangalia tuu...maana walitoka huko huko na usiku wanapatafuta huko huko...
Kisu kimegusa mfupa eeeh?

Sio wewe uliyekuwa unadai shirikisho kombe la luzq?

Wembe ni ule ule
 
Kuna kolo mmoja yeye alilita kombe la wajane.
Screenshot_2024-10-07-15-14-27-1.png
 
Aliyeanza kuita kombe la looser alikuwa haji manara wakati akiwa msemaji wa simba.
Mbona inajulikana?
Na Mwanasimba Mwingine nani vile akasema eti shirikisho ni kombe la wamama kisa wao mapaka wanacheza klabu bingwa!

Mwingine akasema uto wa matopeni ndondo cup tunapanda mabasi kwenda Moro kucheza wao thimba wa kimataifa wanapanda ndege!! Leo kibao kimewageukia!

Sisi wana uto lia lia tumeanzia kutania pale walipoishia thimba Guvu Moya kolowizard wanaotambulisha dada zao wa Mombasa, shemeji zao wa Tanga na wakwe zao wa Nairobi badala ya kutambulisha wadhamini!!

Japo inajulikana kwetu Buza Mpalanger kuwa shirikisho ni kombe la rede la wadada single mothers , wanaume uto tuko klabu bingwa , mpunga mrefu tukibeba kombe tunasajili CR7 na Mbappe! kolo ukibisha kafie mbele!!

Yanga bingwa!
 
Looser cup,sio Yanga tu hata Media.Popote ukipita saaivi ni CL tu.
 
Back
Top Bottom