Yanga wanavyohaha kusaka ushindi nje ya uwanja dhidi ya waraabu kwa kutoa damu na kusaidia yatima

Kuna wakati tutumie akili zetu vizuri mkuu. Hivi unawezaje mtu mzima na akili zako kubeza suala la kujitolea damu na kuhudumia wasiojiweza? Siku ukiishiwa damu ukaenda hospitali ukakakuta hakuna nadhani utalikumbuka vizuri hili jambo wanalolifanya Yanga. Hopeless kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…