Yanga wanahaha kusaka ushindi j2 dhidi ya mwarabu, mara wametoa damu, mara wamesaidia yatima, mara wamekusanya watoto na kuwapa zawadi baada ya kuwauliza maswali hiyo yote ni kutapatapa tu.
Andaeni timu vzr, mambo ya nje ya uwanja na jezi zenu nyeusi hayapo j2.