kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Nimeangalia baadhi ya mechi fulani za Shirikisho. Nimegundua Yanga wana timu nzuri, sio kuliko timu zote za shirikisho hapana.
Ila wana baadhi ya wachezaji wazuri kuliko timu zote za Shirikisho. Kinachofanya wachezaji wengi wa Yanga wawe wazuri kuliko timu zote za Shirikisho ni speed ya washambuliaji wao.
Kwa hiyo ni vigumu kucheza na Yanga huku akicheza mpira wa kushambulia na kuacha wachezaji wachache nyuma.
Timu nyingi zinazowafunga Yanga ni zile zinazocheza mpira wa kupaki na kushambulia kwa kushtukiza. Pamoja na zile zinazopata mipira ya kutengwa, maana mabeki wa Yanga ni dhaifu sana kwa mpira ya juu.
Na ninafikiri Kocha wa Yanga ameshalifanyia kazi suala hili. Kwahiyo nawapa Yanga nafasi kubwa ya kuchukua kombe hili.
Ila wana baadhi ya wachezaji wazuri kuliko timu zote za Shirikisho. Kinachofanya wachezaji wengi wa Yanga wawe wazuri kuliko timu zote za Shirikisho ni speed ya washambuliaji wao.
Kwa hiyo ni vigumu kucheza na Yanga huku akicheza mpira wa kushambulia na kuacha wachezaji wachache nyuma.
Timu nyingi zinazowafunga Yanga ni zile zinazocheza mpira wa kupaki na kushambulia kwa kushtukiza. Pamoja na zile zinazopata mipira ya kutengwa, maana mabeki wa Yanga ni dhaifu sana kwa mpira ya juu.
Na ninafikiri Kocha wa Yanga ameshalifanyia kazi suala hili. Kwahiyo nawapa Yanga nafasi kubwa ya kuchukua kombe hili.