Yanga wanaweza kuchukua kombe hili

Sasa mkutane na kilaza kama huyu Gallants halafu mshindwe kupita mtakuwa vilaza kweli. Timu zenye ubora huko ni Pyramid na AS FAR zingine zote ni papatu papatu kama yanga tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230319-231102.png
    63.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230319-231024.png
    36.5 KB · Views: 6
Una chembechembe nyingi za kupatia ukweli,hongera tuko pamoja.
 
Unaposema figisu ni mentality ya wachezaji na technical bench kwa ujumla mpira wa sasa hivi Africa una mambo mengi nje ya uwanja lakini uwanjani kama uwezo hauna ni hauna tu. Kwa hiyo mpaka kufika hapo uongozi na timu nzima inatambua nini cha kufanya and of course tayari washapata experience ya matatizo wanayoweza kutana nayo(figisu)
 
WAKICHANGA KARATA VYEMA KWENYE ROBO NA WAKATOBOA, ITAKUWA SIMPLE SANA KUIGUSA FINAL.
 
Okey acha tuone mtaan
 
Sasa mkutane na kilaza kama huyu Gallants halafu mshindwe kupita mtakuwa vilaza kweli. Timu zenye ubora huko ni Pyramid na AS FAR zingine zote ni papatu papatu kama yanga tu.
Mpira haupo hivyo mkuu, ligi kuu na michuano ya kimataifa ni vitu viwili tofautu. Ac Milan ni timu mbovu hasa kwa kule Italy timu hadi zinazoshuka daraja zina mkazia, lakini kwenye klabu bingwa yupo katika nane bora.
Kwenye CAF champions league msimu huu Kabylie ni timu ya pili kutoka mwisho kwenye ligi ya Algeria lakini kwenye CAF champions league ni timu iliyofuzu akiwa na point kumi sawa sawa na Wydad
 
Ni kweli uko sahihi,kisoka timu zote zitakazofuzu hatua ya robo fainali zinaweza kubeba ndoo ya maji🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…