Msiwabeze Yanga bado iko imara.Yanga wa kimataifa wazee wa kupigwa 7 - 2 kwakweli wanatia huruma sana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Lete tena hizo statistics vizr, hiyo ya yanga kufungwa 3: 1 ya liniMsiwabeze Yanga bado iko imara.
Ina wachezaji wazuri bado na ni wale wale waliosumbua kwenye ligi, tatizo lipo kidogo kwenye Uongozi wao.
Ona Golmahia
Simba ilifungwa na Golmahia bao 2 - 0 Sportpesa.
Yanga imefungwa na Golmahia goli 3 - 1 Africa.
Hapa wastani wa magoli ni uleule yaani wate wamefungwa goli 2 - 0.
Daima Myuma Mwiko
Nje ndani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msiwabeze Yanga bado iko imara.
Ina wachezaji wazuri bado na ni wale wale waliosumbua kwenye ligi, tatizo lipo kidogo kwenye Uongozi wao.
Ona Golmahia
Simba ilifungwa na Golmahia bao 2 - 0 Sportpesa.
Yanga imefungwa na Golmahia goli 3 - 1 Africa.
Hapa wastani wa magoli ni uleule yaani wate wamefungwa goli 2 - 0.
Daima Myuma Mwiko