Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Labda wachezaji watakuwa na nishati ya kutosha , mchezaji analipwa milioni 35 kwa mwezi halafu unaambiwa hana nishati ya kutosha kwa dk 99-130Young Africans SC imetangaza Adnan Behlulović kuwa kocha mpya wa mazoezi ya viungo pamoja na Taibi Lagrouni!
Soma, Pia: Kocha wa viungo wa Yanga SC, Taibi Lagrouni hajasafiri na timu baada ya kutokubaliani na baadhi ya mazoezi na program na kocha mpya Sead Ramovic
Huyu ni chaguo la Saed Ramovic ambaye amehitaji kufanya nae kazi.
View attachment 3170950
Kocha lazima apewe uhuru wa kuchagua bench lake la ufundi ili yakitokea ya kutokea asiwe na kichaka cha kujifichia iyo ni kawaida kote duniani!Naona Saidi kaanza kuwapa shavu wapemba wenzake.
Haya mambo aliwahi kuyafanya Zoran tukamtimua yeye na mzungu wake saizi naona yamehamia Jangwani.