Yanga wapeni silaha Asec watupige nyingine 5 tugawane mbao kabisa

Uwe na akili, nimeahidi kweli sitoisema Simba, wapi kwenye andiko langu kuna neno Simba?
 
Wapi nimeitaja Simba ktk andiko langu?
Duh! Unaendelea kuthibitisha kuwa sikukosea kusema ulikuwa unatafuta attention. Mimi nilipojipa likizo ya mpira na hasa mambo ya Simba nilikuwa likizo kweli na sasa hivi napiga timing tu, kuna mambo najua yanakuja kuvurugika, naweza kupotea mazima. We naona bado unanusanusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…