Huu ni uhuni! Yaani mbeya city wamecheza hadi idadi yao ikaongezeka!??Nakumbuka niliwahi kupigwa head nikavimba sana nilipoulizwa nyumbani nikawaambia nimegongwa na gari!![emoji2] [emoji2] !Niliona aibu kusema nimepigwa na mtoto mwenzangu.
Huu ni uhuni! Yaani mbeya city wamecheza hadi idadi yao ikaongezeka!??Nakumbuka niliwahi kupigwa head nikavimba sana nilipoulizwa nyumbani nikawaambia nimegongwa na gari!![emoji2] [emoji2] !Niliona aibu kusema nimepigwa na mtoto mwenzangu.