Yanga wapewa pointi 3 na magoli 3 dhidi ya Mbeya City

Huu ni uhuni! Yaani mbeya city wamecheza hadi idadi yao ikaongezeka!??Nakumbuka niliwahi kupigwa head nikavimba sana nilipoulizwa nyumbani nikawaambia nimegongwa na gari!![emoji2] [emoji2] !Niliona aibu kusema nimepigwa na mtoto mwenzangu.
Muda huo kuna mchezaji wa mbeya city alishatolewa kwa kadi nyekundu, cha ajabu bado walibaki kumi uwanjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…