Yanga wapewe mapokezi ya heshima. Wanastahili kwa viwango vyote

Yanga wapewe mapokezi ya heshima. Wanastahili kwa viwango vyote

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Timu ya Daresalam Young Africans imehitimisha safari yake salama na kuwa BINGWA NAMBA MBILI AFRICA, wa kombe la shirikisho.

Klabu ya Yanga, wanachama na Wapenzi wa Michezo wenye moyo wa uzalendo, wanaombwa kuwapa MABINGWA No 2 mapokezi ya heshima.

Kazi walioyofanya ni kubwa haswa KUSHINDA MECHI ZOTE katika ardhi za ugenini, hatimaye kuwa BINGWA NAMBA 2 AFRICA na hivyo wanastahili heshima ya kitaifa.
 
Mapokezi ya heshima kwa kipi?

Hamasishaneni Gongowazi wenyewe kwa wenyewe mkapokee failures wenzenu.
Simba msipokubali kuwa mmefeli mwaka huu mtakuja kustuka miaka mitatu mbele ambapo kazi yenu itakuwa kusifu mafanikio ya timu za nje ila sio yenu. Mnamaliza msimu bila hata kijiko lakini Wala hamstuki
 
Simba msipokubali kuwa mmefeli mwaka huu mtakuja kustuka miaka mitatu mbele ambapo kazi yenu itakuwa kusifu mafanikio ya timu za nje ila sio yenu. Mnamaliza msimu bila hata kijiko lakini Wala hamstuki
Hatutaki ushauri wako
 
Kwa nini mje usiku, sasa hilo kombe mnalokuja nalo tutalionaje? Mi sijapenda. Au wazee wa Tanga tushushe kamvua tena ka ghafla tuharibu shughuli yenu ya leo?
 
Simba msipokubali kuwa mmefeli mwaka huu mtakuja kustuka miaka mitatu mbele ambapo kazi yenu itakuwa kusifu mafanikio ya timu za nje ila sio yenu. Mnamaliza msimu bila hata kijiko lakini Wala hamstuki
Nacheka mimi sasa wewe umefanikiwa kuchukua nini kigeni sana?
 
Toka lini kunakua na mabingwa wawili ktk kombe 1? Mbna ndo Kwanzaa nakusikia wee tangu nizaliwe.

Nyiee utopolooo mmevurugwaa vibayaas.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mashabiki wa yanga wengi ni misheni town na washamba ndio maana walikuwa wanaenda airport kuwapokea wageni.
 
Siwezi kuonesha uzalendo kwa timu inayoshindwa kuchukua kombe mbele ya timu mbovu kama USMA.
 
Back
Top Bottom