Wewe baba Yako si mwarabu!Mapokezi ya heshima kwa kipi?
Hamasishaneni Gongowazi wenyewe kwa wenyewe mkapokee failures wenzenu.
jamaa anaa wivu kama binti vileWewe baba Yako si mwarabu!
..😂😂😂...bingwa ni mmoja tu......hichi cheo kipya hakipo.Timu ya Daresalam Young Africans imehitimisha safari yake salama na kuwa BINGWA NAMBA MBILI AFRICA wa kombe la shirikisho
Simba msipokubali kuwa mmefeli mwaka huu mtakuja kustuka miaka mitatu mbele ambapo kazi yenu itakuwa kusifu mafanikio ya timu za nje ila sio yenu. Mnamaliza msimu bila hata kijiko lakini Wala hamstukiMapokezi ya heshima kwa kipi?
Hamasishaneni Gongowazi wenyewe kwa wenyewe mkapokee failures wenzenu.
Hatutaki ushauri wakoSimba msipokubali kuwa mmefeli mwaka huu mtakuja kustuka miaka mitatu mbele ambapo kazi yenu itakuwa kusifu mafanikio ya timu za nje ila sio yenu. Mnamaliza msimu bila hata kijiko lakini Wala hamstuki
Nacheka mimi sasa wewe umefanikiwa kuchukua nini kigeni sana?Simba msipokubali kuwa mmefeli mwaka huu mtakuja kustuka miaka mitatu mbele ambapo kazi yenu itakuwa kusifu mafanikio ya timu za nje ila sio yenu. Mnamaliza msimu bila hata kijiko lakini Wala hamstuki
Mashabiki wa simba ni wastaarabu sn, hawakuwashobokea hao wapinzani wa yanga kuanzia nusu hadi fainali. Lkn ingekua yanga weee wangeenda kuwapokea km kawaida yaoNyie si mabingwa wa kupokea wapinzani wa Simba,nendeni wenyewe na utaahira wenu