Tetesi: Yanga wapo mbioni kumchukua Okrah na Phiri

Tetesi: Yanga wapo mbioni kumchukua Okrah na Phiri

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Okrah.jpg

Wanasimba tunapigwa pigo jingine, Yanga wapo mbioni kumchukua Phiri azibe nafasi ya Kisinda na Okra azibe nafasi ya Morrisson.

Wana Simba kutokana na Robertinho kutowakubali hao, mwakani tena maumivu.

Phiri.jpg

 
Bora waende.

TATIZO WATANZANIA Wengi HAWAJUI mpira.

Zoran Mark alimkataa phili.
Robertinho anamkataa phili.

Phili ni mchezaji wa KAWAIDA sana.
Akiwa na mpira hawezi kuuficha.
Mwepesi sana KUPOTEZA MIPIRA.
Ni injury prone kwa style yake ya uchezaji atatumia mnoooo
Anaanguka mala 30.
HAFAI KUWA no 10.

Strength.
Mzuri sana kufunga.
Mzuri kutumia Miguu yote.


Okrah ni morion MTUPU.
BINAFSI SIPENDI WACHEZAJI WAFUPI KIASI HICHO.
 
Okrah?? Labda lakini sidhani. Kwa Phiri Simba watakuwa wamefanya kosa kubwa Sana watajuta mwaka mzima na sitegemei kama watakubali aende Yanga japo Nina uhakika 100% ameomba kuondoka.
 
Hili Kama ni kweli basi itapendeza kati ya wachezaji hatari na nawakubali Sana ni Okrah ule mguu wake na speedi yake asee akipata kocha akamwamini hapa bongo ataimbwa kila radio..., Phili ana vitu vingi vuzur. Injia waleteeeee 😅😅👈
 
Hapa ndiyo utaona unafki wa mashabiki wa kibongo. Siku zote wanaikandia Simba kuwa na wachezaji wabovu na hawa kina Okrah wamekuwa wanatajwa ni wabovu, Phiri walikuwa na kigugumizi kumpa sifa zake.

Leo hii fununu tu wanakimbilia kuwapa maua yao yaliyoanza kunyauka.
 
Hapa ndiyo utaona unafki wa mashabiki wa kibongo. Siku zote wanaikandia Simba kuwa na wachezaji wabovu na hawa kina Okrah wamekuwa wanatajwa ni wabovu, Phiri walikuwa na kigugumizi kumpa sifa zake.

Leo hii fununu tu wanakimbilia kuwapa maua yao yaliyoanza kunyauka.
Umesahau hata mashabiki wa simba ndio waliokimuita morison mwizi wa magari? Mukawa munaponda kuwa laiti angekuwa mchezaji wa maana asingeachwa kule south Africa? Je mwishoni mbona mulimsajili na mukawa munamsifia ?
 
Umesahau hata mashabiki wa simba ndio waliokimuita morison mwizi wa magari? Mukawa munaponda kuwa laiti angekuwa mchezaji wa maana asingeachwa kule south Africa? Je mwishoni mbona mulimsajili na mukawa munamsifia ?
Keywords (Maneno muhimu):
"......unafki wa mashabiki wa kibongo......"

Sikusema ni mashabiki wa timu fulani pekee ndiyo wana tabia hizo.
 

Wanasimba tunapigwa pigo jingine, Yanga wapo mbioni kumchukua Phiri azibe nafasi ya Kisinda na Okra azibe nafasi ya Morrisson.

Wana Simba kutokana na Robertinho kutowakubali hao, mwakani tena maumivu.

Simba wasifanye kosa hili hawa ni baadhi ya wachezaji wachache sana wenye hadhi ya kubaki pale. Shida ya Yanga imekuwa kumtegemea zaidi Mayele kwenye ufungaji na wanakosa mtu mwingine mwenye quality kama hiyo, wakimpata mtu kama Phiri na nyongeza ya Okrah watakuwa hawashikiki mamaee.
 
Simba nao wapambane kumsajili Fei toto
 
Back
Top Bottom