Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
Usinichoshe nisikuchoshe...
Hii yanga ni hatariiii
Weka mbali na watoto..
Hakuna kama yanga..
Wachezaji wanamchoko ila ubingwa umerudi jangwani..
Kuna timu gani duniani inaweza kushangilia ubingwa kabla ya msimu kuisha:???
Walisema sana mayele hayupo eti tutafungwa kiko wapi nauliza kiko wapi:
Tupo simple sana,tunajua tunachokifanya.
Yanga ni hatari sana,kwanzia leo tunasema yanga ndo timu no 1 tanzania..
Hatuishi kwa historia.
Tunaishi sasa.
Daima mbele nyuma mwiko..
Hii yanga ni hatariiii
Weka mbali na watoto..
Hakuna kama yanga..
Wachezaji wanamchoko ila ubingwa umerudi jangwani..
Kuna timu gani duniani inaweza kushangilia ubingwa kabla ya msimu kuisha:???
Walisema sana mayele hayupo eti tutafungwa kiko wapi nauliza kiko wapi:
Tupo simple sana,tunajua tunachokifanya.
Yanga ni hatari sana,kwanzia leo tunasema yanga ndo timu no 1 tanzania..
Hatuishi kwa historia.
Tunaishi sasa.
Daima mbele nyuma mwiko..