Yanga wapo vinzuriii

Yanga wapo vinzuriii

Mangi shangali

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
533
Reaction score
820
Usinichoshe nisikuchoshe...
Hii yanga ni hatariiii
Weka mbali na watoto..
Hakuna kama yanga..
Wachezaji wanamchoko ila ubingwa umerudi jangwani..
Kuna timu gani duniani inaweza kushangilia ubingwa kabla ya msimu kuisha:???

Walisema sana mayele hayupo eti tutafungwa kiko wapi nauliza kiko wapi:
Tupo simple sana,tunajua tunachokifanya.
Yanga ni hatari sana,kwanzia leo tunasema yanga ndo timu no 1 tanzania..
Hatuishi kwa historia.
Tunaishi sasa.
Daima mbele nyuma mwiko..
 
Usinichoshe nisikuchoshe...
Hii yanga ni hatariiii
Weka mbali na watoto..
Hakuna kama yanga..
Wachezaji wanamchoko ila ubingwa umerudi jangwani..
Kuna timu gani duniani inaweza kushangilia ubingwa kabla ya msimu kuisha:???

Walisema sana mayele hayupo eti tutafungwa kiko wapi nauliza kiko wapi:
Tupo simple sana,tunajua tunachokifanya.
Yanga ni hatari sana,kwanzia leo tunasema yanga ndo timu no 1 tanzania..
Hatuishi kwa historia.
Tunaishi sasa.
Daima mbele nyuma mwiko..
Vizuri na sio vinzuri
 
Usinichoshe nisikuchoshe...
Hii yanga ni hatariiii
Weka mbali na watoto..
Hakuna kama yanga..
Wachezaji wanamchoko ila ubingwa umerudi jangwani..
Kuna timu gani duniani inaweza kushangilia ubingwa kabla ya msimu kuisha:???

Walisema sana mayele hayupo eti tutafungwa kiko wapi nauliza kiko wapi:
Tupo simple sana,tunajua tunachokifanya.
Yanga ni hatari sana,kwanzia leo tunasema yanga ndo timu no 1 tanzania..
Hatuishi kwa historia.
Tunaishi sasa.
Daima mbele nyuma mwiko..
Nonsense
 
Back
Top Bottom