Yanga wapo vinzuriii

Mangi shangali

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
533
Reaction score
820
Usinichoshe nisikuchoshe...
Hii yanga ni hatariiii
Weka mbali na watoto..
Hakuna kama yanga..
Wachezaji wanamchoko ila ubingwa umerudi jangwani..
Kuna timu gani duniani inaweza kushangilia ubingwa kabla ya msimu kuisha:???

Walisema sana mayele hayupo eti tutafungwa kiko wapi nauliza kiko wapi:
Tupo simple sana,tunajua tunachokifanya.
Yanga ni hatari sana,kwanzia leo tunasema yanga ndo timu no 1 tanzania..
Hatuishi kwa historia.
Tunaishi sasa.
Daima mbele nyuma mwiko..
 
Vizuri na sio vinzuri
 
Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…