Kama kanuni zinasema hivyo wachukuliwe hatua halafu wamechezesha mababu kuna moja ukiliangalia tu usoni lina miaka 35 halafu linajiita under 20 haya ndio yakipata maumivu inachukua miaka 3 kupona.
Yanga mwaka huu wao ni wa pili tu.
Youth league ni wa pili nyuma ya mtibwa,
Ligi ya wanawake ni wa pili nyuma ya Simba,
VPL watakua wa pili nyuma ya Simba
ASFC watakua wa pili nyuma ya Simba