Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Manara hakukosea kusema wenye akili ni 2Rage akukosea kuwaita mbumbumbu
Nyani aoni ku______ na wew pia ni nyani tena la manyani kolo wewManara hakukosea kusema wenye akili ni 2
Na yule Kocha wenu kuwaita Nyani.
Hauna uhakika na unachokiongea, hazipo.?Simba ipo ?? Tangu msimu huu uanze zile tuzo zenu za mchezaji wa mwezi hazipo
Sasa mzee, unamshambulia Mtanzania mwenzako badala ya Luc Eymael aliyetuita manyani?Nyani aoni ku______ na wew pia ni nyani tena la manyani kolo wew
Na wew ulionaje mtanzania mwenzio kukuita mbumbumbu bin koloSasa mzee, unamshambulia Mtanzania mwenzako badala ya Luc Eymael aliyetuita manyani?
Tangu mwaka juzi kutoka kwa Emirate AluminiumNa Simba wamepata Hilo shavu?
Hawanaga akili hao mbumbumbuView attachment 2776783
Fatilia vitu acha kuwa mnazi
Tangu 2020 Yanga walikua na hizo tuzo Simba kaanza 2021 nani kaiga?Wameiga kwa Simba
Hasira hizi zina historia yake! Najua sio kwa sababu ya tukio la leo 😁Hawanaga akili hao mbumbumbu
Nazungumzia kuanzia Manara ahamie YangaView attachment 2776783
Fatilia vitu acha kuwa mnazi
Kabisa ni machizi kabisa hawana akiliHawanaga akili hao mbumbumbu
Wew ni kigeugeu kama bosi wenu mwamediNazungumzia kuanzia Manara ahamie Yanga
Mkuu, sasa kama haya mambo yalianza tangu 2020, huoni sasa hii si jambo jipya?Wew ni kigeugeu kama bosi wenu mwamedi
Kwani yanga ya mukoko ni ya mwaka gani?Mkuu, sasa kama haya mambo yalianza tangu 2020, huoni sasa hii si jambo jipya?
Kuna mo insurance anatoa milioni 250 kwa mwaka Ila wakitaka kuwekeza atawaambi brand ya Simba ni kubwa haiwezi kupingana na utopolo.Hapo pia kuna milioni 900 ya Simba
Duh! Kwa hiyo hapo tayari ulaji umeshawapita?Kuna mo insurance anatoa milioni 250 kwa mwaka Ila wakitaka kuwekeza atawaambi brand ya Simba ni kubwa haiwezi kupingana na utopolo.
Simbwa mkataba wao ni shingapi tuletee hapa tujue Kama wameiga kweliWameiga kwa Simba
Usikaririshwe hizo taasisi aziji tu Kama magenge ya wahuni, hapo idara ya masoko ya yanga inafanya kazi yake ipasavyo usidhani Kila Dili ni lazima na nyie muwepo inategemea kitengo chenu Cha masoko kimejipangaje kuwavutia wawekezajiLazima wapate tu. Hizo taasisi haziwezi kamwe zikafanya kazi na upande mmoja.