Tangu lini mkia ukawa na heshima, siku zote uko nyuma. mikia fc msilete majigambo yasiyokuwepo.Hilo si group kama la mwaka juzi tu kaongezeka el mereikh tu hapo..ambao ni wa 31 simba wa 17 kuweni na heshima nyieeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama member mmoja anaitwa Wagiriki.Unakipaji chakusuta.
Nitakuja nao 999,999 wakiongozwa na PAKA WENU MWEUSI.....
Mimi ni kijana mwenye familia....Dogo Kwani shule bado hazijafunguliwa?
Nyie endeleeni kasajili pakaKuna shangwe kubwa mtandaoni kutoka kwa mashabiki wa deportivo la utopolo baada ya picha kusambaa mtandaoni ya mchezaji aliyevalia jezi ya Wolves akisaini kandarasi na team hiyo ya jangwani inayokamata nafasi ya 69 kwa ubora barani Afrika baada ya kujikusanyia point 1(CAF 5 year ranking)
Team hiyo ilisema safari hii wanasajili kimyakimya na kupiga picha nusu wakikata sura ki profeshno zaidi.
Pisi kaliHilo si group kama la mwaka juzi tu kaongezeka el mereikh tu hapo..ambao ni wa 31 simba wa 17 kuweni na heshima nyieeee
hiyo mbinu na nyie itumieni kumbe rahisi hivyo??kuna mechi inaendelea sasa hivi zenji huko ya wanaume walioko afrika,watoto wadogo walirukaruka saa kumi ileNyie endeleeni kasajili paka
Hao waarabu ngoja wakupanguse pakunyeaNikiwa Cairo nyumbani kwa Al Ahly mabingwa wa Afrika......
Mpe hai PAKA mweusi.....
Tayari......
Ninawasubiri NINYI MIKIA....
Mikia njooni FAINALI na YULE PAKA WENU MWEUSI.....
Mwaka huu utopolo mtakufa kwa kihoro, simba we are on [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Sawa.....
Halafu kuweni Waungwana...mmeshaanza kusemwa VIBAYA. CAF watawamulika kwa karibu tu.
Japo ni tuhuma ila haziachi afya njema.
1. Nisalimie yule refa wako wa Kitutsi aliyetoa ile penalty nje ya 18.
2. Nisalimie PAKA wenu mweusi...njooni naye kila mechi pale kwa Mkapa.
3. COVID 19 itakwisha tu. Sijui mtakuja na visingizio vipi hiyo miaka 10 usemayo!