Yanga wasajili mchezaji kutoka Wolves ya UK?

Hilo si group kama la mwaka juzi tu kaongezeka el mereikh tu hapo..ambao ni wa 31 simba wa 17 kuweni na heshima nyieeee
Tangu lini mkia ukawa na heshima, siku zote uko nyuma. mikia fc msilete majigambo yasiyokuwepo.
 
Nyie endeleeni kasajili paka
 
Mwaka huu utopolo mtakufa kwa kihoro, simba we are on [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…