Kwani Kuna goli tumefunga refa akalikataa? Na hiyo tarehe 23 in Nini? Bongo kuna mashabiki mandazi ni hatari Wala haujui hata unachokishabikia we ni mpiga kelele tu.Al Hilal ni dhaifu ila pongezi zote ziende Kwa refa yeye pasina shaka ni Nyota wa mchezo.Tukutane tare 23.
akipangwa na team iliyoifungwa goli 15+ na mamelod sawa.yanga awezi kuitoa mazembe,pyramid,cfaxien,club Tunis,rivers etcChukueni hii kauli
Utopolo anaenda makundi ya shirikisho na atafanya vizuri
Mpira umechezwa dk 70 tu, Jamaa Wana anguka kama wagonjwa, gari la wagonjwa linachukua zaidi ya dk2 Refa kama amekodiashwa, yaani mchezaji ataki kuinuka yeye ana mbembwleza.
Chukueni hii kauli
Utopolo anaenda makundi ya shirikisho na atafanya vizuri
Kwahyo hiyo ndani ya hiyo miaka mitatu ijayo una uhakika yanga itakuwa inapangiwa wababe wa soka, siyo vibonde tena?Tukubali, tukatae lakini ukweli ni kwamba katika msimu ambao Yanga wamepata washindani wepesi basi ni msimu huu.
Yaani timu ambayo ilikuwa inaogopwa kwa idadi kubwa ya watu ni Al Hilal lakini nachokiona ni timu ya kawaida sana na nina uhakika hawa Al Hilal wangekuwa wamepangiwa na Simba wangelala mechi mbili tena kwa magoli mengi tu.
Yanga kwenye michuano ya kimataifa bado sana kwakweli
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Kuamini kwamba, "yanga ikishinda mechi ni bahasha, lakin ikifungwa uwezo wao ni mdogo"Wakiacha kushinda kwa bahasha za kaki watafanikiwa baadaye.
Duu mpira tumeuona sasa refa kakosea nini ?Al Hilal ni dhaifu ila pongezi zote ziende Kwa refa yeye pasina shaka ni Nyota wa mchezo.Tukutane tare 23.
Yes kimsingi Yanga wamecheza Mpira Sema bahati haikuwa kwao. Hao Al Hilal hawafiki kokoteAl Hilal ni dhaifu ila pongezi zote ziende Kwa refa yeye pasina shaka ni Nyota wa mchezo.Tukutane tare 23.
Mmesonga mbele au mmesonga ugali mbichi?Tunasonga mbele subiri
Fanya misimu 5.Tukubali, tukatae lakini ukweli ni kwamba katika msimu ambao Yanga wamepata washindani wepesi basi ni msimu huu.
Yaani timu ambayo ilikuwa inaogopwa kwa idadi kubwa ya watu ni Al Hilal lakini nachokiona ni timu ya kawaida sana na nina uhakika hawa Al Hilal wangekuwa wamepangiwa na Simba wangelala mechi mbili tena kwa magoli mengi tu.
Yanga kwenye michuano ya kimataifa bado sana kwakweli
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Muda utaongeaWe endelea kujidanganya tuu