Yanga watafanya vizuri kimataifa kuliko Simba msimu ujao

Yanga watafanya vizuri kimataifa kuliko Simba msimu ujao

Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.
Subiri mbumbumbu wa Rage waje..........
 
Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.
Huyo Hersi mipango ipo kichwani kwake tu kama wewe ulivyokuwa unaamini utakuwa rubani. Kwenye reality Hersi hana mpango wowote.... Kajiokotea wachezaji wa bure wote.
 
Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.
Da Joy unahangaika sana
 
TUWEKE SAWA HII [emoji3578][emoji3578]

Kambole. -- Huyu ametemwa na Kaizer Chiefs n miongon mwa wachezaj 14 waliotemwa msimu huu Goal zake Mbili znajulikana kwenye mechi karbia 46

Morrison:- Huyu hakuwa kwenye mipango ya simba ametemwa mambo yake yanaeleweka anaweza Asifunge huku simba kwenye ligi hajatufungia hata goal 5 proffesional player kwenye misimu miwili kwenye ligi hana hata goal 10[emoji38] amekalia vituko tu Inaeleweka[emoji1621]

Bigirimana:- Amesajiliwa amekaa miaka Miwili hana team alikuwa anauza uza tu huko Bia[emoji38]

Joyce Lomalisa:- Alikuwa anacheza Angola huko ametemwa na hyo team nae alikuwa anazurura tu huko Congo kina Mayele wamempigia Kampen aungane nao[emoji38][emoji38]

Ki ufupi mpka sasahvi Yanga hawajasajili mchezaj hata mmoja aliyekuwa anagombaniwa na klabu yyote Afrika au Huko kwao...

Wamechukua wachezaj wao ambao wako wapweke[emoji23][emoji23]

Sasa tulinganishe kweli na

Moses phiri amekuwa mshambliaj bora Zambia msimu wa mwaka Jana na mwaka huu mshambliaj bora namba mbili

Kyombo Amemalza na goal 6 na assist 1 kwenye mechi 12 takwimu bora kuliko hata Morrison

Kapama Kiungo na kiraka bora sana ametoka kwenye team akiwa na uwezo mzuri kabisa

Akpan Kiungo mkabaji lakin kwenye ligi amemaliza na Assist 3 na goals 2 takwimu bora kuliko Bigirimana na huyo Kambole

[emoji38]

Tulien muone msimu ukianza
Msimu uliomalizika tulisema Uto wamesajili wacheza ndombolo ya solo, lakini mwisho wa msimu sote tulipoteana.
 
Tusubiri msimu mpya wa mashindano uanze.
 
TUWEKE SAWA HII [emoji3578][emoji3578]

Kambole. -- Huyu ametemwa na Kaizer Chiefs n miongon mwa wachezaj 14 waliotemwa msimu huu Goal zake Mbili znajulikana kwenye mechi karbia 46

Morrison:- Huyu hakuwa kwenye mipango ya simba ametemwa mambo yake yanaeleweka anaweza Asifunge huku simba kwenye ligi hajatufungia hata goal 5 proffesional player kwenye misimu miwili kwenye ligi hana hata goal 10[emoji38] amekalia vituko tu Inaeleweka[emoji1621]

Bigirimana:- Amesajiliwa amekaa miaka Miwili hana team alikuwa anauza uza tu huko Bia[emoji38]

Joyce Lomalisa:- Alikuwa anacheza Angola huko ametemwa na hyo team nae alikuwa anazurura tu huko Congo kina Mayele wamempigia Kampen aungane nao[emoji38][emoji38]

Ki ufupi mpka sasahvi Yanga hawajasajili mchezaj hata mmoja aliyekuwa anagombaniwa na klabu yyote Afrika au Huko kwao...

Wamechukua wachezaj wao ambao wako wapweke[emoji23][emoji23]

Sasa tulinganishe kweli na

Moses phiri amekuwa mshambliaj bora Zambia msimu wa mwaka Jana na mwaka huu mshambliaj bora namba mbili

Kyombo Amemalza na goal 6 na assist 1 kwenye mechi 12 takwimu bora kuliko hata Morrison

Kapama Kiungo na kiraka bora sana ametoka kwenye team akiwa na uwezo mzuri kabisa

Akpan Kiungo mkabaji lakin kwenye ligi amemaliza na Assist 3 na goals 2 takwimu bora kuliko Bigirimana na huyo Kambole

[emoji38]

Tulien muone msimu ukianza
mkuu tukae pamoja kibanda umiza mechi Simba na Yanga!! najua utahitaji soda ya baridi kupoza koo!!

Makolo mmejifariji sana msimu mzima na mkatoka kapa! Mkasema kombe baya hamlitaki!

Safari hii ni yale yale tu hadi mtazoea na kukubali Yanga ni bingwa wa kihistoria!

Hao kina Akpan mtawatukana tu! Muda utaongea!
 
Mosemane hapa,,Kanali mstaafu wa jeshi hapa alafu wanafungwa,,wametia aibu nchi,serikali,chama,JW,Africa na Dunia nzima.
 
Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.
Waingizeni hao wazee wenu mnaowathamini waje wasawazishe basi
 
N
Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.

Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.
Acha unafiki basi. Umeanza lini wewe kuwa Simba?
 
Simba wa mchongo
Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.
 
Mimi ni Simba lakini naiona Yanga imejipanga sana kufanya vizuri msimu ujao. Sababu naziona kama ifuatavyo.

1. Uongozi mpya
Eng Hersi ana mikakati mikubwa ya kuifanya yanga itambe kimataifa na hilo analiweza.Pili yeye ndie mwenye màamuzi kwa vile ni kiongozi, mipango yote ya ushindi ndani na nje ya uwanja anajua kuipanga.

2. Wachezaji wa ushindani
Kuna ujanja mkubwa umefanyika wa kumpeleka Morrison yanga, sio kuwa Morrison hana nidhamu isipokuaa umetengenezwa mkakati wa kumrudisha yanga kwa kudai hana nidhamu, yale mapumziko ya Morrison ilikuwa kutuandaa tu kisaikolojia, viongozi wa timu hizi wanajuana sana, wanakaa pamoja huku sisi tunagombana, mfano ni suala la Kenneth Mkapa na Mohamed Mwameja miaka ile kwa wanaokumbuka.

3. Yanga ina watu wa mipango kuliko Simba
Huyu Hersi amezungukwa na vijana wengi wanaojua ushirikina wa soka la bongo, sijui kama Simba itamfunga yanga kwenye uongozi wake, yeye mwenyewe anafikika kwa urahisi, ameshazijua siasa za soka la bongo, ameshajua namna ya kuikabili Simba, wala hana presha, Simba akijitahidi atakuwa akipata sare.Wengi wanamsapoti Hersi nje ya uwanja.Simba ubinafsi umejaa sana.

4. Wazee Simba kutopewa heshima kuliko Yanga
Wazee wa Simba wanalalamika hawathaminiwi, wale yanga wanashirikishwa mpaka kwenye kutafuta ushindi nje ya uwanja.

5. Yanga wana uchungu sana na timu yao kuliko Simba
Wenzetu Yanga wana uchungu, wanashirikiana na kupeana mikakati, gemu ya kirumba makomandoo wao wamehaha mwanza nzima kutafuta ushindi, sisi Simba tumeridhika.Yanga hawapendi kufungwa na Simba, sisi tunapenda kufungwa na yanga halafu tunajidanganya eti tushatoka huko.Yanga wanapocheza na Simba wanamaliza kila kitu.

6. Kuna usaliti sana Simba kuliko Yanga
Yanga hata kama hawafurahishwi na mambo ndani ya uongozi, huwasikii kupinga hovyo hovyo, ni nadra kwa mtu wa yanga aliye ndani ya kamati ya ufundi kuuza ishu kwa uongozi wa Simba, sisi Simba tumekos ubingwa msimu huu wala sio kwa sababu ya majeruhi wala nn, wapo watu kwa maslahi yao binafsi hawamtaki Ceo ili mambo yao yanyooke, wanaona maisha yao hayaendi akiendelea kuongoza Simba.Ishu nyingi za Simba zinavuja kwa Zungu Pori ndio maana Hersi amemng'ang'ania Zungu pori.

7. Mwenyekiti wetu sio mtu wa mpira
Mwenyekiti wetu pia sio mtu wa mpira, hata anapoongea unaona kabisa hamna mipango humu, yupo yupo tu.

Tusipoziba ufa tutajenga ukuta, Time will tell.
Naona wameshafuzu hatua ya makundi ya WhatsApp 🤣🤣
 
Back
Top Bottom