Yanga watafika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika mwaka huu

SAHIVI WANABEZA BAADAYE WA WATASEMA TUMEPANGIWA TIMU DHAIFU
 
Ndoto za mchana hizi .

Ngoja kaizer chief wachafue sherehe yenu leo kwa kichapo mubashara mjione mlivyo andazi.
 
8. SIMON MSUVA
 
SAHIVI WANABEZA BAADAYE WA WATASEMA TUMEPANGIWA TIMU DHAIFU
CAFCL anayetoboa ni anauejua sio wabahatishaji, vibonde huwa wanabahatisha wanafika makundi na siku zote hao hao ndio huishia kuwa wa nne kwenye makundi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…